Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,596
- 29,518
Hi guys,
Hope mpo poa,
Nimejikuta natamani tu kuongea na wale ndugu zangu ambao wanateseka mno na social life iwe kwa mahusiano ama urafiki.!!
Kuna watu wanaishi maisha magumu mno tena kwa kuchagua wenyewe, Just imagine mtu yupo kwenye uhusiano ambao, Ni yeye kila siku ndo awe wa kwanza kupiga simu yeye awe wa kwanza kutuma msg, asipofanya hivyo it means hakuna kuwasiliana mpaka yeye ajizugishe kufanya hivyo tena huku moyoni anaumia..!
Ama unakuta mtu ameganda kwa urafiki ambao wewe ndo una kazi ya kumjulia khali mwenzio mara zote, yeye hata siku moja hajisumbui kufanya hivyo, Na siku akikutafuta ujue amekwama na ana shida ya pesa huku akijua kabisa hapati msaada kwingine, Kwako wewe hata kama huna ni lazima ujipige pige mpaka umtatulie, Ubaya hawa marafiki wa hivi utamu wao ni ukwame wewe, Hawatokusaidia la jua ama la mvua!! Lakini mwenzangu hujifunzi kila siku shobo hazikuishi kujipendekeza kwa mtu ambaye uko invisible kwake, the only moment una exist ni muda pekee ana shida zake binafsi na wewe ndo kimbilio lake pekee..!!
Na bado mtu unakaa unaumia kwa aina hiyo ya watu, ambao kwako wewe ni wa muhimu lakini wewe kwenye maisha yao wewe ni wa ziada, uzuri wanakuonyesha kabisa ila ndo umeganda hapo husikii la mnadi swala wala sauti za kanisa afe kipa afe beki umegandana hapo huku ukikazana tu kujichoresha.!!
Hebu ifikie pahala mtu ujifunze ku balance shobo, ijue mipaka yako, ijue thamani yako,
Jua wewe ni nani, na kwanini upo ulipo, Jifunze
kujiheshimu mwenyewe sababu ukijiheshimu ni ngumu sana mtu atoke alikotoka aje kukuona huna thamani, Usiruhusu hata siku moja mtu akuchukulie poa, Jitahidi hiyo nafasi asiipate sababu kiuhalisia nafasi za kudhauraulika tunazitengeneza wenyewe.!!
You're very much better than that and you deserve to be treated accordingly..!!
Eid Mubarak..!!
Hope mpo poa,
Nimejikuta natamani tu kuongea na wale ndugu zangu ambao wanateseka mno na social life iwe kwa mahusiano ama urafiki.!!
Kuna watu wanaishi maisha magumu mno tena kwa kuchagua wenyewe, Just imagine mtu yupo kwenye uhusiano ambao, Ni yeye kila siku ndo awe wa kwanza kupiga simu yeye awe wa kwanza kutuma msg, asipofanya hivyo it means hakuna kuwasiliana mpaka yeye ajizugishe kufanya hivyo tena huku moyoni anaumia..!
Ama unakuta mtu ameganda kwa urafiki ambao wewe ndo una kazi ya kumjulia khali mwenzio mara zote, yeye hata siku moja hajisumbui kufanya hivyo, Na siku akikutafuta ujue amekwama na ana shida ya pesa huku akijua kabisa hapati msaada kwingine, Kwako wewe hata kama huna ni lazima ujipige pige mpaka umtatulie, Ubaya hawa marafiki wa hivi utamu wao ni ukwame wewe, Hawatokusaidia la jua ama la mvua!! Lakini mwenzangu hujifunzi kila siku shobo hazikuishi kujipendekeza kwa mtu ambaye uko invisible kwake, the only moment una exist ni muda pekee ana shida zake binafsi na wewe ndo kimbilio lake pekee..!!
Na bado mtu unakaa unaumia kwa aina hiyo ya watu, ambao kwako wewe ni wa muhimu lakini wewe kwenye maisha yao wewe ni wa ziada, uzuri wanakuonyesha kabisa ila ndo umeganda hapo husikii la mnadi swala wala sauti za kanisa afe kipa afe beki umegandana hapo huku ukikazana tu kujichoresha.!!
Hebu ifikie pahala mtu ujifunze ku balance shobo, ijue mipaka yako, ijue thamani yako,
Jua wewe ni nani, na kwanini upo ulipo, Jifunze
kujiheshimu mwenyewe sababu ukijiheshimu ni ngumu sana mtu atoke alikotoka aje kukuona huna thamani, Usiruhusu hata siku moja mtu akuchukulie poa, Jitahidi hiyo nafasi asiipate sababu kiuhalisia nafasi za kudhauraulika tunazitengeneza wenyewe.!!
You're very much better than that and you deserve to be treated accordingly..!!
Eid Mubarak..!!