Wale ma single boy Na single girl tukutane hapa

Wale ma single boy Na single girl tukutane hapa

Emma M Bai

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
223
Reaction score
126
Tujadili namna ya Ku handle hisia zetu mapenzi Kwa sasa ni pasua kichwa

Bora kutafuta pesa mambo mengine ukiona huyaelewi upumzike

Wadau tupeane mbinu sasa vipi tutaweza ishi bila kufanya mapenzi

Sasa naomba umwonyeshe kuwa unaweza kuishi bila yeye Kwa vitendo

KARIBUN
 
Mimi navyojua nikiwa single ndio nafanya mapenzi zaid kuliko nikiwa kweye mahusiano,

Sasa nyie usingle wenu mnashindwa kuuutumia mkijakupata watu ndio mnaanza kuchovyachovya ovyo ovyo mipango ya kando
 
Hapo mwanaume anakupigia simu kukusalimia asbh anakuuliza Mali zangu ziko salama wakat hajakununulia hata underwear hamjajenga hajawai kukununulia hata miguu ya kuku

Ukimuuliza Mali zako zipi ugomvi mfano uulizwe wewe utajibu nini
 
Hapo mwanaume anakupigia simu kukusalimia asbh anakuuliza Mali zangu ziko salama wakat hajakununulia hata underwear hamjajenga hajawai kukununulia hata miguu ya kuku

Ukimuuliza Mali zako zipi ugomvi mfano uulizwe wewe utajibu nini
Mtu wa ivyo simpi jibu..maana anaweza nitafuta akanivunja bure
 
Hapo mwanaume anakupigia simu kukusalimia asbh anakuuliza Mali zangu ziko salama wakat hajakununulia hata underwear hamjajenga hajawai kukununulia hata miguu ya kuku

Ukimuuliza Mali zako zipi ugomvi mfano uulizwe wewe utajibu nini
Hahahaha nimeipenda hii mtu anauliza mali zake wakati ukimpigia simu ya hela ya salon sababu nyingi kama mgonjwa wa kuhara
 
Hapo mwanaume anakupigia simu kukusalimia asbh anakuuliza Mali zangu ziko salama wakat hajakununulia hata underwear hamjajenga hajawai kukununulia hata miguu ya kuku

Ukimuuliza Mali zako zipi ugomvi mfano uulizwe wewe utajibu nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyie watu bhana.
 
Ila wakuu mpo materialistic saana nikisoma comments sio kwa wanaume sio wanawake...sijajua tatizo ni nini...

Kwanini mtu akitaja mapenzi akili inakimbilia pesa..etc moja kwa moja kwanini akili isikimbilie upendo( I would like to see people being optimistic about love).
 
Kwani huko kwenu sabuni kipande bei gani
Tujadili namna ya Ku handle hisia zetu mapenzi Kwa sasa ni pasua kichwa

Bora kutafuta pesa mambo mengine ukiona huyaelewi upumzike

Wadau tupeane mbinu sasa vipi tutaweza ishi bila kufanya mapenzi

Sasa naomba umwonyeshe kuwa unaweza kuishi bila yeye Kwa vitendo

KARIBUN
 
Back
Top Bottom