Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,316
Habari wakuu
Kuna binti flani kamaliza chuo mwaka jana
Tulikua nae kwenye mahusino kama mwaka hivi kabla ya kutengana mwaka juzi mwishoni baada ya kugundua kuwa kuna baadhi ya vitu sivipendi toka kwake na ni natural
Sasa changamoto ni kuwa kila akianzisha mahusiano baada ya muda mfupi inaonekana yanakua hayawi vile alivotaraji na anakuja inbox kunieleza na kunilaum kwamba mie ndo nasababisha anazidi kuongeza namba ya wanaume eti mimi ndo nlikua mtu sahihi kwake
Binafsi najickia vibaya sana ila sina la kufanya naona kama anataka kuntengezea karma za kulazimisha
Kuna binti flani kamaliza chuo mwaka jana
Tulikua nae kwenye mahusino kama mwaka hivi kabla ya kutengana mwaka juzi mwishoni baada ya kugundua kuwa kuna baadhi ya vitu sivipendi toka kwake na ni natural
Sasa changamoto ni kuwa kila akianzisha mahusiano baada ya muda mfupi inaonekana yanakua hayawi vile alivotaraji na anakuja inbox kunieleza na kunilaum kwamba mie ndo nasababisha anazidi kuongeza namba ya wanaume eti mimi ndo nlikua mtu sahihi kwake
Binafsi najickia vibaya sana ila sina la kufanya naona kama anataka kuntengezea karma za kulazimisha