Neema j swai
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 177
- 103
Wazima jamani,
Naombeni ushauri,
Nina rafiki yangu anaishi na mpenzi wake Mslamu na yeye ni Mkristo ila hawajafunga ndoa wala limekuja Ramadhan hii mwanaume kafunga kamwambia mpenzi wake asimguse ukifika mda wa kulala ni kulala hairusiwi kufanya mapenzi kipindi hichi kama hawajaoana ila ftari anapika huyo mwanamke ambaye hajaolewa.
Swali linakuja je atafanyaje ili aweze kuvumilia mpaka Ramadhan ishe bila kugusana maana wanaishi chumba kimoja na mwanaume amefunga.
Msaada maana hapo kazi ipo.
Naombeni ushauri,
Nina rafiki yangu anaishi na mpenzi wake Mslamu na yeye ni Mkristo ila hawajafunga ndoa wala limekuja Ramadhan hii mwanaume kafunga kamwambia mpenzi wake asimguse ukifika mda wa kulala ni kulala hairusiwi kufanya mapenzi kipindi hichi kama hawajaoana ila ftari anapika huyo mwanamke ambaye hajaolewa.
Swali linakuja je atafanyaje ili aweze kuvumilia mpaka Ramadhan ishe bila kugusana maana wanaishi chumba kimoja na mwanaume amefunga.
Msaada maana hapo kazi ipo.