Ndiyo wengine shida ndo chanzo lakini wapo vizuri nina uhakika kabisa kuna ndoa zipo safi tu na mke alikuwa hivyoWana jf naombo kuuliza hivi inawezekana kumbadilisha Malaya kuwa mke I mean mama wa watoto wako?
Shida ni kuwa hata mkeo haujui lifestyle lake la mwanzo !!Usijaribu
Huwezi kumbadili mwanamke malaya kama yeye mwenyewe hajaamua kubadilika, mtu hubadilika kulingana na mazingira au yeye mwenyewe aamue kubadilika...over!Wana jf naombo kuuliza hivi inawezekana kumbadilisha Malaya kuwa mke I mean mama wa watoto wako?