Imekuja hivi punde!!!

Imekuja hivi punde!!!

Mtundu wa Tech

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2019
Posts
642
Reaction score
612
Hii tabia ya wadada/wamama kuanika nguo zenu za ndani hasa vyupi hovyo kwenye kamba mtaacha lini?

Maana kunakua na kero kuviona vyupi vikielea tu kwenye kamba hasa hizi nyumba za kupanga yaan kero tu.

Vyupi, taiti na vile vitambaa vya bleeding sijui[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Aaah aaah aaah nadhani hapa kitanuka sio kwa kuchoma moto vitu vya watu. Na hapa ninapoishi ndio kuna wapangaji zaidi ya 20 hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusanya vyote choma moto baharia
 
Tafuta demu mkuu nazani itakusaidia katika mindset yako kuviona kua ni kitu Cha kawaida tu, ivi unataka kuniambia ata sweming uendagi?
 
Aaah aaah aaah we jamaa bhaana me nimekua mkubwa sasa ila hizi nguo bhaana kero tu
Tafuta demu mkuu nazani itakusaidia katika mindset yako kuviona kua ni kitu Cha kawaida tu, ivi unataka kuniambia ata sweming uendagi?
 
Hii tabia ya wadada/wamama kuanika nguo zenu za ndani hasa vyupi hovyo kwenye kamba mtaacha lini?

Maana kunakua na kero kuviona vyupi vikielea tu kwenye kamba hasa hizi nyumba za kupanga yaan kero tu.

Vyupi, taiti na vile vitambaa vya bleeding sijui[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kwani kuna shida gani. Hizo si nguo za kawaida tu? Mwishowe utataka hata dukani zisining'inizwe kwa uwazi. Hawa vijana wanobareheshwa na mitandao bwana taaaaabu tupu.
 
Chupi ni nguo kama nguo nyingine...

Hebu fanya kutembelea beach bwana mdoo ukaone chupi zimeanikwa miilini mwa walimbwende...
 
Nadhani ni tatizo la kisaikolojia tu;nahisi ukizitazama zilivyoanikwa unakuwa unachora umbo la mvaaji kichwani.
 
Back
Top Bottom