Nianze kwa kusema asanteni wazee wetu kwa kutulea na kutukuza kwene misingi mema
Ila leo kuna kitu naomba kuwakumbusha au kuwaambia huenda kitasaidia kuwaondoa migogoro na sie watoto wenu...
Kwenye mahusiano huwa kuna changamoto mbalimbali, hakuna mahusiano yasiyokuwa na changamoto. Ila wakati mwingine mtu unaweza ukapitia changamoto mpaka akili ikakukaa sawa. So ni changamoto gani...
Hii wanajamvi natumaini ni wazima wa afya.
Nina mtoto ana umri wa miaka 6, wa kiume ni kiboko kwa kukojoa kitandani yani hata kama nikimuamsha usiku bado atakojoa tu nimewaza hadi nikaona...
Kwa wanaume je ulishawahi kuwa na rafiki yako akakuonesha mpenzi wake wa kike (girlfriend wa rafiki yako)halafu baadae ukafanya tamaa kisha ukamzunguka rafiki yako kwa siri kisha ukala penzi? ama...
Nina mwanaume na tumeshaanza familia tuna mtoto mmoja na tulipanga wote wawil tupate mtoto barua ilishapelekwa kwetu wanamfaham ndugu zangu,nami wananifaham shida tunaishi mbalimbali amefika kukir...
...Kuna hospital moja nilienda kwa kazi maalum ya about miezi 3. Sasa kuna ka nesi ka kimeru kakawa kananiamkia vzr kabisaa, Shikamoo baba!! Ki umri kako around 20-24. Nilikuwa naitikia kwa...
Hapa nazungumzia mpenzi mwenza awe mwanaume au mwanamke ambaye umepanga kumuoa au kuolewa naye ukiona ana sifa hizi ujue hakufai na utakuja kujuta baadae na unaweza kufanya maamuzi ya kumrekebisha...
Mara nyingi hatuchagui kuwa wazazi wasio na wenza, hii hutokoea katika maisha. Kumbuka single parent nae ni binadamu mwenye feelings, anahitaji kupenda na kupendwa.
Mwaka huu 2019 ikiwa ni...
Habari za Ijumaa wapendwa,
Imetokea umepata mwenza anaekupa masharti kuwa mtoto wako asifike nyumbani kwenu utachukua uamuzi gani?
Yalimtokea shosti, alipata mimba akiwa form six, kichwani...
Juzi kati nimeamka zangu asubuhi na mapema kutoka zangu nje nikamkuta Demu nyumba ya jirani anafagia uwanja full mauasafi ikanibid nimpe hai japo sikuwa na mazoea nae kabisa.
Nikamwambia"mambo'...
1.Unapekua nyumba unakuta hati ya kiwanja cha jina lake ambacho hukijui na hajakushirikisha..
2.Unapekua nyumba unakuta hati ya nyumba yenye jina la mkeo ambayo huijui na hajawahi kukushirikisha...
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin.
Sifa za huyu...
Hii ni simulizi ya dereva wa boda boda aliyenusurika kifo cha kuteketea na moto kwenye ajali ya Moro
Anasumulia kwamba asubuhi ile alipata abiria wa kumpeleka Nane nane... Walipofika eneo la ajali...
Hello, kwa imani mbarikiwe sana!
Husika na kichwa tajwa hapo juu,
Bila shaka huenda kuna jambo ambalo unahitaji kufahamu kuhusu saikolojia na jinsi inavyoathiri au kusaidia watu!
Karibu kwa...
Habari za wikiendi ndugu zangu,
Niende moja kwa moja kwenye mada,Nilitoa mada hapa jukwaani kipindi fulani kuhusu nia yangu ya kuzaa na msichana kwa mkataba,katika mada hiyo nilielezea kwa urefu...
1. Psychology says, women are biologically attracted to guys who are taller than them because height is associated with the ability to protect and
defend.
2. If two past lovers can remain just...
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam...