Kupungua upendo

Kupungua upendo

Passed

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2017
Posts
561
Reaction score
161
Nina mwanaume na tumeshaanza familia tuna mtoto mmoja na tulipanga wote wawil tupate mtoto barua ilishapelekwa kwetu wanamfaham ndugu zangu,nami wananifaham shida tunaishi mbalimbali amefika kukir alikuwa na mchepuko alishindwa kuvumilia ila ameachananae kwa sasa na amemwambia ukweli kuwa ana mtu.mda mwingine nawaza kuachananae shida inafika spendi watoto wangu wawe na baba tofaut nifanyeje
 
Kuliko kuja kujuta baadae ukiwa hauna soko tena, ni heri ufanye sasa wakati bado unaitwa itwa na wana
 
yani unataka kumuacha huku amekiri kosa na ushamsamehe! utapata tabu sana, I bet ukimuacha huyo hata utakaempata mbeleni anaweza akawa anachepuka

NOTE
Asilimia 90 ya wanaume wanachepuka, na hiyo 10 waliobaki ni sababu za imani , dini, nguvu, pesa nk, ila nao mambo mengine yakikaa poa ni wachepukaji wazuri tu
 
Chepuka na Mimi basi afu na wewe uje uombe msamahaa Ili iwe
Both team to score
 
Ukweli ni kwamba tunachepuka na hamjui huyo kajutia kosa kakwambia msamehe mlee watoto

Usipokubaliana nae piemu yangu ipo wazi
 
Pole sana. Lakini furaha yako ndio kitu cha kwanza kama ni watoto watakuwa tu. Maisha yanatufanya tufanye vitu ambavyo hatukupanga kuvifanya.
 
Kwa hiyo unaachana nae sababu alikuwa ana mchepuko au una sababu zingine? Maana asilimia kubwa ya wanaume ndio tabia zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom