Kwanini mabinti katika mahusiano hawasalimii Shkamoo?

Kwanini mabinti katika mahusiano hawasalimii Shkamoo?

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,447
Reaction score
10,785
...Kuna hospital moja nilienda kwa kazi maalum ya about miezi 3. Sasa kuna ka nesi ka kimeru kakawa kananiamkia vzr kabisaa, Shikamoo baba!! Ki umri kako around 20-24. Nilikuwa naitikia kwa bashasha na hili besi langu!

Sasa juzi juzi kakakosea kunituma picha ake ya kanga kochini, nikakatania I love u!! Mpaka leo hakaniamkii, ni mwendo wa mambo? Nambie? N.K. Sasa na udingi huu najisikia vibaya!!

Je, kwa nn shikamoo huondoka kipindi unapomtokea binti? Au kwa nn ukimuoa hata kama alikuwa anakuamkia uchumbani shikamoo inapotea ndoani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shkamoo maana yake nini mkuu tuanzie hapo
 
salam ni salam tu,, haijalishi ni ya aina gan,
 
Mke lazima akuamkie tena nilimzoeza hivo mwanzonj mwa ndoa yetu akiwa bado hata hatujapata hata mtoto 1 asikuamkie ww akamkie nani. Sasa hao wengine hana. Haja. Ya. Kukuamkia. Maana kumtongoza maana yake umemuona mnalingana ila mimi nilimsambia we mdogo kwangu na. Ilikuwa unaniamkia endelea kuniamkia. Sasa kutokana na ninavo kapatia dozi kenyewe kana nikubali mbona kananiamkia tu.. Ila mwanzo kalistisha.

(Pambana na hali yako) ..# Kwetu Mwanza Nyegezi#
 
Back
Top Bottom