Keyboard Warrior
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 985
- 2,884
Kwenye mahusiano huwa kuna changamoto mbalimbali, hakuna mahusiano yasiyokuwa na changamoto. Ila wakati mwingine mtu unaweza ukapitia changamoto mpaka akili ikakukaa sawa. So ni changamoto gani ulishawahi pitia kwenye mahusiano, uliitatuaje? Na je uko na huyo mtu mpaka sasa?
Share experience, pengine kuna mtu anaweza kujifunza kitu.
Share experience, pengine kuna mtu anaweza kujifunza kitu.