Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...
Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.