coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 357
- 669
- Kwanza ngono,halafu mapenzi.wachache kati ya ninaowajua wameanzia kwenye ngono kwanza baada ya kunogewa ndio wakaamua kua katika mahusiano
- Yana muda mfupi sana,watu wanaachana fasta tu na kuanzisha mahusiano mapya fasta tu.quantity over quality,online dating imefanya watu kua kama bidhaa tu
- Hayapo serious na ukiwa serious unaonekana boya
- Kua na lifestyle badala ya tabia imefanya watu wapende sana wanaume wenye magari,pesa na wanawake wengi wanaomshobokea badala ya tabia njema
- 80% of women competing 20% of men
- Hamna tena kujitoa katika mapenzi,kwanini ujitoe wakati kila siku unaweza ukaanzisha uhusiano mpya