Habari za hapa watu wa jukwaa hili
Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu
Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto ambe tumepata hivi karibuni, lengo kwa mujib wa wife ni kutusaidia ulezi hadi pale mtoto atakapojiweza au kwa sharti la kama tungepata mlezi basi pia angeodoka.
Lakini wadau hivi naandika muda umeenda sana na hana mpango wa kuchomoka tuko naye pika pakua na sasa mpaka anadai room yake.
nataka nijarib kuongea na wife mkwe ataondoka lini lakini naogopa kuja kusema namfukuza mamake au simpend mkwe wangu. kwaio hili jambo laninyima raha na uhuru pale ndani na ukweli naumia sn ata ku-enjoy na wife.
Nilikuwa na tabia nikishaingia ndani nakuwa navaaga vingua vifupi vifupi kama pensi na wakati mwengine tumbo wazi kwa ajili ya upepo upepo lakin sasa nikijarb tu mkwe huyo uso kwa uso sina amani najisikia aibu sana inabidi muda wote nikiwa ndani niwe full-aquip.
Tumepanga tulete mlezi wa mtoto na wife lakini wife na yeye anasema ata mlezi akija na mama yake ataendelea kuwepo.
Huyu mama tayari ni age kidogo na hana mume kama vile maisha yake anataka yawe pale kwangu.
Wadau naomba ushauri kwa kweli
Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu
Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto ambe tumepata hivi karibuni, lengo kwa mujib wa wife ni kutusaidia ulezi hadi pale mtoto atakapojiweza au kwa sharti la kama tungepata mlezi basi pia angeodoka.
Lakini wadau hivi naandika muda umeenda sana na hana mpango wa kuchomoka tuko naye pika pakua na sasa mpaka anadai room yake.
nataka nijarib kuongea na wife mkwe ataondoka lini lakini naogopa kuja kusema namfukuza mamake au simpend mkwe wangu. kwaio hili jambo laninyima raha na uhuru pale ndani na ukweli naumia sn ata ku-enjoy na wife.
Nilikuwa na tabia nikishaingia ndani nakuwa navaaga vingua vifupi vifupi kama pensi na wakati mwengine tumbo wazi kwa ajili ya upepo upepo lakin sasa nikijarb tu mkwe huyo uso kwa uso sina amani najisikia aibu sana inabidi muda wote nikiwa ndani niwe full-aquip.
Tumepanga tulete mlezi wa mtoto na wife lakini wife na yeye anasema ata mlezi akija na mama yake ataendelea kuwepo.
Huyu mama tayari ni age kidogo na hana mume kama vile maisha yake anataka yawe pale kwangu.
Wadau naomba ushauri kwa kweli