Mama mkwe kajichimbia naona shida kumtoa

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,273
Habari za hapa watu wa jukwaa hili

Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu

Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto ambe tumepata hivi karibuni, lengo kwa mujib wa wife ni kutusaidia ulezi hadi pale mtoto atakapojiweza au kwa sharti la kama tungepata mlezi basi pia angeodoka.

Lakini wadau hivi naandika muda umeenda sana na hana mpango wa kuchomoka tuko naye pika pakua na sasa mpaka anadai room yake.

nataka nijarib kuongea na wife mkwe ataondoka lini lakini naogopa kuja kusema namfukuza mamake au simpend mkwe wangu. kwaio hili jambo laninyima raha na uhuru pale ndani na ukweli naumia sn ata ku-enjoy na wife.

Nilikuwa na tabia nikishaingia ndani nakuwa navaaga vingua vifupi vifupi kama pensi na wakati mwengine tumbo wazi kwa ajili ya upepo upepo lakin sasa nikijarb tu mkwe huyo uso kwa uso sina amani najisikia aibu sana inabidi muda wote nikiwa ndani niwe full-aquip.

Tumepanga tulete mlezi wa mtoto na wife lakini wife na yeye anasema ata mlezi akija na mama yake ataendelea kuwepo.

Huyu mama tayari ni age kidogo na hana mume kama vile maisha yake anataka yawe pale kwangu.

Wadau naomba ushauri kwa kweli
 
Mke wako ana shuhuli gani mkuu?
Kama hana shuhuli fungua biashara ili awe anaenda huko biasharani lakini pia atakachokula / tumia mlezi wa mtoto ndicho anachokula/tumia mkweo. Fikiri taratibu.

Pole sana na hongera kwa mgeni.
 
Habari za hapa watu wa jukwaa hili

Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu

Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto ambe tumepata hivi karibuni, lengo kwa mujib wa wife ni kutusaidia ulezi hadi pale mtoto atakapojiweza au kwa sharti la kama tungepata mlezi basi pia angeodoka.

Lakini wadau hivi naandika muda umeenda sana na hana mpango wa kuchomoka tuko naye pika pakua na sasa mpaka anadai room yake.

nataka nijarib kuongea na wife mkwe ataondoka lini lakini naogopa kuja kusema namfukuza mamake au simpend mkwe wangu. kwaio hili jambo laninyima raha na uhuru pale ndani na ukweli naumia sn ata ku-enjoy na wife.

Nilikuwa na tabia nikishaingia ndani nakuwa navaaga vingua vifupi vifupi kama pensi na wakati mwengine tumbo wazi kwa ajili ya upepo upepo lakin sasa nikijarb tu mkwe huyo uso kwa uso sina amani najisikia aibu sana inabidi muda wote nikiwa ndani niwe full-aquip.

Tumepanga tulete mlezi wa mtoto na wife lakini wife na yeye anasema ata mlezi akija na mama yake ataendelea kuwepo.

Huyu mama tayari ni age kidogo na hana mume kama vile maisha yake anataka yawe pale kwangu.

Wadau naomba ushauri kwa kweli
vipi mtoto ana umri gani?
 
Mke wako ana shuhuli gani mkuu?
Kama hana shuhuli fungua biashara ili awe anaenda huko biasharani lakini pia atakachokula / tumia mlezi wa mtoto ndicho anachokula/tumia mkweo. Fikiri taratibu.

Pole sana na hongera kwa mgeni.
Ila ujue km kipato ni cha kawaida biashara sio ya kukurupukia sjui mtaji atatoa wapi gafla ili atatue ilo tatizo
 
1571660769764.png

Hapa hamna nafasi tena ya mzazi kuwabana kiasi hicho mkuu, ni mambo yetu tu ya kiswahili jinsi tunavyojiendekeza kwamba mkizaa lazima mzazi mmoja aje akae na nyie na hapo ndipo ulopokosea, hapo ukimshirikisha wife kama unavyosema lazima atakuelewa tofauti kwamba humpendi mkweo,Ushauri wangu usipende sana kukaa kaa home au kurudi mapema wife atakusoma tu!

NB; Siku nikioa, shemeji yenu akanizalia mtoto kumsaidia kuhusu newborn ni ndani ya zile 40 tu!
 
Habari za hapa watu wa jukwaa hili

Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu

Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto ambe tumepata hivi karibuni, lengo kwa mujib wa wife ni kutusaidia ulezi hadi pale mtoto atakapojiweza au kwa sharti la kama tungepata mlezi basi pia angeodoka.

Lakini wadau hivi naandika muda umeenda sana na hana mpango wa kuchomoka tuko naye pika pakua na sasa mpaka anadai room yake.

nataka nijarib kuongea na wife mkwe ataondoka lini lakini naogopa kuja kusema namfukuza mamake au simpend mkwe wangu. kwaio hili jambo laninyima raha na uhuru pale ndani na ukweli naumia sn ata ku-enjoy na wife.

Nilikuwa na tabia nikishaingia ndani nakuwa navaaga vingua vifupi vifupi kama pensi na wakati mwengine tumbo wazi kwa ajili ya upepo upepo lakin sasa nikijarb tu mkwe huyo uso kwa uso sina amani najisikia aibu sana inabidi muda wote nikiwa ndani niwe full-aquip.

Tumepanga tulete mlezi wa mtoto na wife lakini wife na yeye anasema ata mlezi akija na mama yake ataendelea kuwepo.

Huyu mama tayari ni age kidogo na hana mume kama vile maisha yake anataka yawe pale kwangu.

Wadau naomba ushauri kwa kweli


Waswahili husema; unapopenda boga penda na ua lake.

Chukulia mfano kama ingalikuwa ni mama yako mzazi ndiye kaja hapo halafu mkeo anakuambia kwamba uwepo wa huyo mama yako unamnyima uhuru, utajisikiaje??!, basi mkuu hayo ndiyo matunda ya kutafuta nasaba misiba mingi itakukuta.🤣🤣
 
Kama mama mkwe umri umeenda na hana mume mkuu chukua thawabu hizo. Pima mzani kati ya vifuatavyo alafu amua mkuu. Upande mmoja weka raha za kuvaa vipensi kifua wazi na kumbinua wife enewea mkijisikia tu alafu upande wa pili weka mama mkwe yuko lonely anahitaji kampani kumalizia umri wake duniani, anahitaji msaada direct kutoka kwako alafu utaona kipi kikubwa mkuu. Hata hivyo sidhani kama chakula anachokula mama mkwe kinaharibu sana bajeti ya home mkuu, kikubwa nachokiona hapa ni uhuru tu umebana.

Kwa vyovyote utakavyoamua, narudia tena vyovyote jibu lako litakavyokuwa elewa kuwa ingekuwa ni mama yako wewe, mkeo angeshanuna saa hizi. Ila jibu hili lisiharibu maamuzi yako utakayoamua mkuu.

Wishing you lucky....................
 
.....................Siku hiyo nimerudi home kidogo nimechelewa {siyo kawaida yangu kuchelewa na hapo nyuma kidogo wife nimeshawasiliana naye} mara mama mkwe huyu hapa ananifungulia yeye mlango bila kutarajia nikapigwa swali “enhe usiku huu umetoka wapi yaani unarudi kwa mwanangu saa tano hii”?

Aisee nilimkata jicho moja na hivi nikikereka huwa siwezi kuongea sana hapo hakuna cha salamu wala nini,mimi huyoo nikapishana naye nikamuacha ameushikilia mlango siku mbili mbele wife ananiambia mama anataka kuondoka na nakumbuka alivyokuwa anakuja alisema angekaa kwa kipindi kidogo,ni kazi sana kukaa na mama mkwe wakati mwengine hata mama yako mzazi na mwanae akiwa kichwa panzi atamjaza maneno nyumba utaiona chungu hiyo.

Nimekutahadharisha tu
 
Habari za hapa watu wa jukwaa hili

Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu

Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto ambe tumepata hivi karibuni, lengo kwa mujib wa wife ni kutusaidia ulezi hadi pale mtoto atakapojiweza au kwa sharti la kama tungepata mlezi basi pia angeodoka.

Lakini wadau hivi naandika muda umeenda sana na hana mpango wa kuchomoka tuko naye pika pakua na sasa mpaka anadai room yake.

nataka nijarib kuongea na wife mkwe ataondoka lini lakini naogopa kuja kusema namfukuza mamake au simpend mkwe wangu. kwaio hili jambo laninyima raha na uhuru pale ndani na ukweli naumia sn ata ku-enjoy na wife.

Nilikuwa na tabia nikishaingia ndani nakuwa navaaga vingua vifupi vifupi kama pensi na wakati mwengine tumbo wazi kwa ajili ya upepo upepo lakin sasa nikijarb tu mkwe huyo uso kwa uso sina amani najisikia aibu sana inabidi muda wote nikiwa ndani niwe full-aquip.

Tumepanga tulete mlezi wa mtoto na wife lakini wife na yeye anasema ata mlezi akija na mama yake ataendelea kuwepo.

Huyu mama tayari ni age kidogo na hana mume kama vile maisha yake anataka yawe pale kwangu.

Wadau naomba ushauri kwa kweli
mgegede
 
Nikuambie kitu mkuu, huyo mama amekuja kusaidia uzazi, unatakiwa kwanza ushukuru kwa msaada aliofanya. Najua wakati mwingine hizi nyumba zetu inakuwa ngumu kuwa na idadi kubwa ya watu coz space yaweza kuwa ndogo na uhuru wako pia.

Lakini likija swala la wazazi (iwe wa upande wako au wa mkeo), jaribu sana kuishi nao kama wa kwako, ukiweka matabaka namna hiyo hata siku akija mama mzazi mkeo anaweza kusema siwezi kuishi na mama yako.

Hawa ni wazazi wetu, baadhi hawapendi kabisa kukaa kwa watoto mda mrefu(wanajua madhara yake), wale ambao hawaelewi basi twende nao hivyo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom