Je,unachokipata kwenye ndoa ndicho ulichokitegemea?

Je,unachokipata kwenye ndoa ndicho ulichokitegemea?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,350
Reaction score
62,592
Wengi wanakimbilia ndoa,wakiamini watakuwa wanafanya tendo masaa 24 kwa siku...tatizo linajitokeza pale mhusika anapoamua kuwa halisia na kutaka kufanya tendo pale atakapojisikia yeye na si wewe utakavyojisikia.Hii hali imeleta migogoro mingi ndani ya wanandoa na kusababisha utafutaji wa wasaidizi.Je,unachokipata kwenye ndoa ndicho ulichokitegemea?
 
Wengi wanakimbilia ndoa,wakiamini watakuwa wanafanya tendo masaa 24 kwa siku...tatizo linajitokeza pale mhusika anapoamua kuwa halisia na kutaka kufanya tendo pale atakapojisikia yeye na si wewe utakavyojisikia.Hii hali imeleta migogoro mingi ndani ya wanandoa na kusababisha utafutaji wa wasaidizi.Je,unachokipata kwenye ndoa ndicho ulichokitegemea?
Mkuu kabla yakuchangia mada umeshamrudishia jamaa laki mbili yake!samahani kwa usumbufu,povu ruksa!
 
Back
Top Bottom