Mkondo wa Nungwi
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 332
- 389
Ukiwa na akili huhitaji kuchunguza uwezo wa mwanamke na mwanamme upi ni bora na imara.
Akili za wanawake ambazo kila wakikuwa ndio zinapungua uelewa na kujiamini. Hawawezi kuwa na maamuzi sahihi bila ya sapoti ya mwanamme.
Kwa ushahidi huu niliouna niliamini wazi kama Muumba wa uhai amewajui kama wanawake ni dhaifu zaidi na kamwe hawawezi kupata haki sawa na mwanamme.
Kuna siku nimekaa akapita mwanamke mtu mzima wa miaka 45 kiasi kwa mbele kidogo kukawa na mbwa (koko) nilipatwa na mshangao mkubwa sana yule mwanamke alimuomba mtoto mdogo wa wastani wa miaka 10 amvuushe pale kwenye yule mbwa. Niliamini hawa viumbe ni watu wa kuwaweka karibu yetu tu lakini sio wa kuwapa 50/50.
Akili za wanawake ambazo kila wakikuwa ndio zinapungua uelewa na kujiamini. Hawawezi kuwa na maamuzi sahihi bila ya sapoti ya mwanamme.
Kwa ushahidi huu niliouna niliamini wazi kama Muumba wa uhai amewajui kama wanawake ni dhaifu zaidi na kamwe hawawezi kupata haki sawa na mwanamme.
Kuna siku nimekaa akapita mwanamke mtu mzima wa miaka 45 kiasi kwa mbele kidogo kukawa na mbwa (koko) nilipatwa na mshangao mkubwa sana yule mwanamke alimuomba mtoto mdogo wa wastani wa miaka 10 amvuushe pale kwenye yule mbwa. Niliamini hawa viumbe ni watu wa kuwaweka karibu yetu tu lakini sio wa kuwapa 50/50.