Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,355
- 40,227
Kwa ladies, ukitaka mtu (mume/mchepuko) wako akuhudumie chochote unachotaka kutokana na uwezo wake, fanya yafuatayo:-
- Akikugusa kidogo tu hata mkono, shtuka kimahaba
- Ukiwa naye jitahidi uwe unanukia vizuri
- Mkiwa ndani ya 18 mwachie ajipimie anavyotaka
- Mpe mapozi ya kila namna na yenye ubunifu
- Mkiwa ndani mpe mitego ya kumpa mzuka
- Mkiwa kwenye zoezi toa sauti ya kumpa ushindi
- Mpatie huduma muda wowote anaotaka