Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

nipo pretoria sai nafight niliamua nibadili maisha ya bongo.ila huku mademu ni balaa toka niwe bongo sijawai ona namba kama hizi.
3 Reactions
27 Replies
488 Views
Nadhani mnajua mm siletagi chai hapa sasa nyumba nnayokaa kigamboni kuna mwana kahamia juzi tu hana miezi 2 baada ya kutoka kuowa akachukua apartment pale akahamia na mkewe wameanza maisha mapya...
4 Reactions
18 Replies
492 Views
Hellow wana JF. Nimeweka video hapo chini.👇👇 Watu wanamaumivu makali, watu wanauchungu mkubwa, watu wamekata tamaa kabisa, watu wamechanganyikiwa, watu wana vidonda vya moyo visivyo kauka, watu...
10 Reactions
34 Replies
548 Views
Mama yangu ulifunza kuwa ndoa mbovu na haina dhamana. Ila ulinieleza na mimi nitafute mwanamke anizalie watoto ila nisimuoe. Asante mama kwa ushauri wako.
2 Reactions
7 Replies
95 Views
Wakuu vip hapo Nimepewa taarifa mbaya San kwamba jana majira ya saa tatu za usk jirani angu alimpost mchepuko wake aje ampige shoo fupi nje ya choo, choo Cha nje ya public Dad yule ni mpole sna...
15 Reactions
34 Replies
926 Views
Kuhudumiwa na mwanaume ni suala ambalo wanawake wanakubaliana nalo, lakini ni mfumo dume, ambao wanawake wanaupiga vita. Mwanaume kumuhudumia mwanamke ni suala la kupigwa vita, sio kupongezwa...
25 Reactions
192 Replies
2K Views
Habarini ndugu Wanabodi wa JF! Naenda kwenye kiini cha mada moja kwa moja. Nina changamoto... hata nikiongea kwa upole na kawaida, wasikilizaji wangu wanadai kuwa nimechukia na nafoka,, yaani...
0 Reactions
4 Replies
153 Views
Siku ya 5 hii nipo South Africa.... Daaaah.... Kuna mitoto imeumbika huku wallah.... Ina neema za Allah... Yaani nikitembea shingo feni macho mia mia. Wallah mabata ushungu...! Nlitamani niishi...
19 Reactions
84 Replies
2K Views
Tangu niyafahamu mapenzi sijawahi kukaa mda mrefu namna hii bila kushiriki, mpaka sasa ni miezi miwili sasa nimejikuta tu nimeshazoea nadhani naweza kumaliza hata mwaka. Kwako mdau upi ni muda...
3 Reactions
92 Replies
1K Views
Katika ulimwengu huu wenye kelele nyingi lakini uliojaa mioyo pweke, swali hili halitoki tu midomoni, bali linasikika kama kilio cha chini chini kutoka ndani kabisa ya roho inayotafuta makazi...
25 Reactions
109 Replies
925 Views
1. Katika harakati za utafutaji nilikutana na lishangazi la Kireno likiwa linafanya kazi kama Meneja Hoteli Dar (Masaki). 2. Aisee ana nundu sio poa. Nikajenga ukaribu akiwa bongo. Nikaanza...
69 Reactions
224 Replies
15K Views
Wakuu, Sauti nzito zimekuwa adimu sana. Yaani wakaka tunashare nao tu frequency za sauti. Akiongea George kama kaongea Zurie na vice versa is true. Mwanaume anakwambia kitu hata hakiingii saaana...
11 Reactions
65 Replies
941 Views
Kuna wanaume wanaosema “dini inataka mwanaume aoe bikira,” kana kwamba ubikira ni guarantee ya kupata mwanamke bora. Ni lazima tutenganishe fundisho la dini, preference binafsi na character ya...
4 Reactions
33 Replies
347 Views
Daima upendo ni hisia nauwezi ukafosi ata kama unapesa upendo hautakaa kamwe upatikane
0 Reactions
3 Replies
89 Views
Rafiki yangu ni mwalimu wa shule ya msingi ila kamchapa mtoto wangu wa darasa la pili matakoni hadi nguo yote imechanika kisa hajaspell the word spesho'. Mtoto kasema alitaja s> p> e> c> i> a> l...
11 Reactions
55 Replies
544 Views
Ndani ya kitabu hiki kilichosheheni ujuzi kuhusu ujana na ndoa, hakika utapata kuyajua mengi ambayo pengine awali ulitilia shaka, au hukuwa na hakika nayo. Kwa maelezo ya ziada karibuni DM
1 Reactions
24 Replies
308 Views
Unakuta unatongoza hata manzi kumi ila zote zinakukazia ila wake za watu wanaanza kukutongoza wenyewe huku si kutafutana ubaya
5 Reactions
10 Replies
179 Views
Wakati mwingine tunajidanganya kwa jina la 'uvumilivu' wakati ndani ya moyo tumechoka. Kuridhika ni amani. Ni kula na kucheka na mtu kutoka moyoni na kulala bila mawazo. ..........Lakini...
18 Reactions
169 Replies
2K Views
🧠 SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO; Kuelewa Hisia, Tabia na Mvuto wa Binadamu. Kwanini unampenda mtu ambaye anakutesa?, Kwanini watu wazuri hujikuta kwenye mahusiano mabaya?, Kwanini baadhi ya mahusiano...
2 Reactions
12 Replies
146 Views
Mimi nilipoteza ubikira wangu kwa kahaba... Inasikitisha sana lakini ndo ukweli wenyewe. Nakumbuka kipindi hicho tulipokuwa shule ya sekondari. Ikifika mida ya saa mbili usiku rafiki yangu...
16 Reactions
170 Replies
4K Views
Back
Top Bottom