Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Wanasemaga usimdharau mtu usie mjue, kuna siku nilipangiwa mishe ya kikazi kwenye moja ya mkoa fulani hivi hapa nchini Tukiwa kwenye hizo site kuna mrembo mmoja akawa analeta mazoea na mimi, japo...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Moja ya tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume ni umbo. Umbile la mwanamke hata kwa nyuma tu unajua hiki kitu.... Mimi ndo maana napendelea sana wanawake wenye MAKEBO MAKUBWA. Yaani Matako...
6 Reactions
23 Replies
454 Views
Sijui na tatizo lpi kila nnayemtongoza ananikataa.saiv n mara ya saba bila matokeo,nifanyaje wakuu
3 Reactions
18 Replies
266 Views
Yani hakuna vishawishi vyovyote uivyopitia, umelala vizuri, ila unaamka, unahali mbaya sana, unahamu kali sana ya kufanya mapenzi, nini kinakua kimetokea? kama hii sku ya leo ni hatari sana
10 Reactions
57 Replies
870 Views
Ndugu zangu wana JF baada ya kupambana na maisha kwa mrefu bila kutoboa,na nilishajiapiza kua siwezi kuoa mpaka hali ya Uchumi Ikae Sawa. Sasa Nimeamua kuteungua Msimamo Wangu Naona Umri Unaenda...
5 Reactions
49 Replies
452 Views
Unakuta sharobalo amepiga pamba kali, misifa mingi ukifika nyumbani kwake hana kitanda wala godoro, analala kwenye mabox na sandalusi. Wanaume tujitutumue tununue angalao godoro.
8 Reactions
51 Replies
845 Views
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha? Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na...
39 Reactions
253 Replies
20K Views
Wakuu salaam. Tujitaidi kuosha mikono kwa maji na sabuni, kuvaa barakoa na tujiepushe kugusa uso. Sijui ni kwanini nina bahati mbaya naeza kusema kwasababu siwapendi wanawake walionizidi umri...
4 Reactions
85 Replies
14K Views
Habari zenu wana jamvi! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nimeoa na nina mtoto mmoja na maisha yangu sio mazuri sana huwa napenda kubet sana au kucheza game za token zile za wachina.Sasa...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Mimi bado kijana damu bado ya moto, ni madem wengi wananipaparukia lakini stimu zangu huwa zipo kwa majimama (shuga mummy) . Kuna jimama moja nimelipata Dar mtaa mmoja unaitwa Chamazi , sasa...
6 Reactions
77 Replies
8K Views
wanawake wanapitia magumu sana haswa wakianza kuvunja ungo. Hapo ndo shida rasmi zinaanza ule usumbufu wa kuingia period kila mwezi na wengine period zao zinaingia na maumivu pamoja na kutokwa na...
5 Reactions
20 Replies
433 Views
Ni kweli ni mpenzi wako, lakini siyo kila kitu cha kwenye familia yako au ukoo wako anapaswa kujua vingine vibaki siri ya ukoo wako ili kuilinda heshima yako kwa huyo mwenza wako. Punguza kusema...
11 Reactions
27 Replies
426 Views
Poleni na majukumu wazee watarajiwa. Kuna nyakati mtu unakaa na kuyatafakari maisha, ni juzi tu tulikuwa vijana, tunaenda huku na kule maisha safi. Leo hii tupo kwenye umri ambao tayari ni wazee...
16 Reactions
87 Replies
1K Views
Mara ya kwanza kulala na malaya ilikuwa mwaka 2014. Nikiwa nimetoka job nilikutana na mtoto wa baba mdogo (RIP), alikuwa na mshikaji wake wa chuo (Muhaya) sasa wale jamaa mi sikujua plan zao...
20 Reactions
98 Replies
3K Views
Maisha yanaenda kasi sana na umri unakimbia vibaya mno. Kuna wakati unachukua wasaa na kukaa chini kutafakari mambo mengi unayoyapitia. Ukipiga hesabu kuna mambo mengine unaishia kufurahi tu...
5 Reactions
54 Replies
518 Views
Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu...
71 Reactions
6K Replies
983K Views
Ni viashiria gani uliviona tu ukajua hapa hamna kitu huyu ni kicheche yaani concubine.
2 Reactions
15 Replies
332 Views
‎Why Silent Wives Are the Most Dangerous Wives in Marriage - By Bisi Adewale ‎ ‎Silence in a wife is not peace. ‎Silence is not submission. ‎Silence is not maturity. ‎Most times, silence is a...
1 Reactions
9 Replies
209 Views
Back
Top Bottom