Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nlikuwa chuo miaka ya nyuma huko naishi na jamaa mmoja mkwavi sana, yule mkambala alikuwa ana tabia za kijuvi na kibazazi hasa. Alikuwa akianza kufahamiana na mwanamke anaenda kwenye kabati lake...
11 Reactions
62 Replies
8K Views
Habar wakuu, Kwanza niseme TU kisa hiki ni Cha miaka mingi ya nyuma sn ilopita ya ndoa yangu na MKE wangu MAMA G. Kiukweli miongoni mwa ndoa zilizopita misukosuko mingi miaka 5 ya kwanza ya...
48 Reactions
596 Replies
42K Views
Andika umri wako na mahali ulipo. N.b usizidi miaka 22 N.b kama single mother uwe mzuri N.b ujue nahitaji nini kwenye mahusiano N.b ujue kupenda N.b nitakupenda na kukujali
2 Reactions
26 Replies
244 Views
Hebu tukumbushane hapa wadau ilikuweje mpaka ukajikuta unatembea na mpangaji mwenzako? Yangu nakumbuka miaka ilee ya tamthilia ya sultan. Yule mdada alikua anapenda sana kufatilia tamthilia ya...
1 Reactions
2 Replies
144 Views
So stop going to the gym and go to the job
1 Reactions
19 Replies
143 Views
Nani yupo kwenye age ambayo baba wa makamo anakutaka na watoto chini ya miaka 25 wanakutaka? Vyovyote unavyofanya kwenye maisha hakikisha unafanya mazoezi Usiache
25 Reactions
124 Replies
1K Views
TUPAC SHAKUR: PICHA MOJA, SOMO MOJA KUBWA KUHUSU URAFIKI, USALITI NA MAADUI WALIO KARIBU “All your skinfolk ain’t your kinfolk.” — Msemo unaobeba uzito wa maisha ya Tupac Shakur Kuna picha...
4 Reactions
3 Replies
140 Views
Nimekuwa nikiwasiliana na kijana mdogo mwenye aliepangiwa kazi huko Mbeya, katika story za mambo ya maandalizi ya kuoa yeye anapenda kuoa mwanamke ambae hana mtoto lakini kalalamika hapo Mbeya...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Wakuu habari ! Maisha kwa mwanaume kamwe hayajawahi kuwa rahisi in everything. Unatoka alfajiri na mapema kwenda kusaka mkate wa familia then unarudy om unakutana na makelele kutoka kwa wife 💔...
14 Reactions
85 Replies
637 Views
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka. Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida
1 Reactions
83 Replies
8K Views
Hey people, Good evening Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Sababu ilikuwa ni ipi? Naanza, Wakati nasoma niliwahi kupendana na mtu ambaye alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, baadae akaja niambia...
29 Reactions
370 Replies
7K Views
Huyu demu ni mzuri na anaonekana very decent kwa nje. Msukuma wa Shinyanga. Mimi kiukweli niitegemea ngekaa kwake kwa utulivu but baadaye nikaja ona ana ujanja wa kishamba. Mimi nlikutana naye JF...
89 Reactions
377 Replies
20K Views
Umeachana na mpenzi wako miaka 2,3,4,5 iliyopita.Na baada ya kuachana mnaamua kuendelea na maisha yenu kila mtu kivyake Lakini jamani kuna muda huwa kuna ex fulani huwa anakuja automatically...
8 Reactions
86 Replies
9K Views
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu mwaka huu umeanza vibaya sana kwangu ndugu zangu, yaan yaliyonikuta ni mabaya sana nataman hata nijitie kitanz tu...
9 Reactions
364 Replies
34K Views
Ni kheri wakuu.... Huwa sinaga tabia ya kushika simu ya mke wangu sasa juzi usku niliamua kuishika na kucheck check sms eeeeh nikakuta kuna sms 2 upande wa sent namba ikiwa imeseviwa X. Moja ya...
14 Reactions
80 Replies
2K Views
Nywele mojawapo ya 'viungo' vya mwili ama mazao ya mwili ni mojawapo ya malighafi muhimu kiroho na kimwili pia.... Nywele hizi za kichwani huota toka kwenye ngozi ya kichwa ambapo ndani yake ndio...
38 Reactions
79 Replies
21K Views
Ni habari ya zamani sana huko kijijini sitimbi lakini hadi leo nacheka sana nikikumbuka! Ilikuwa hivi, kuna binti mmoja kijiji cha jirani alikuwa hataki kunipa mchezo, nikachoka...
87 Reactions
384 Replies
64K Views
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni...
19 Reactions
257 Replies
16K Views
Salute, Kwa vijana wote specifically wa kiume waliozaliwa mwaka 1990s ambao wanataka kuingia maisha ya ndoa. Basi wajitatahidi sana kuzingatia mambo haya wakati wanapochagua wenzi wao wa maisha...
22 Reactions
129 Replies
7K Views
Back
Top Bottom