Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

Kuna muda utafika wazazi wako watakufa au watazeeka Sana.
Na wewe utazeeka sana au utaumwa kiasi cha kuhitaji watu wa kukutunza au kukuuguza.
Tanzania bado hatuna vituo vya kutosha vya kuhudumia wazee.
Nani atakuhudumia wewe na wazazi wako likikutokea jambo hilo?
Mshahara wenyewe 1M mdogo sana, usipojipanga vema utakosa pesa ya kukodi watu wa kukuhudumia ukiugua au ukizeeka.
Usifikirie kuhusu leo tu bali fikiria miaka kadhaa ijayo itakuwaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom