Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Yaani unakuta binti anawaza kuolewa na mwanaume ambaye amemtengeneza yeye kwenye akili zake eti Awe na Nyumba Awe na gari Awe na hela Sawa na wewe unaolewa ukiwa na nini? Kama hicho kiungo kila...
22 Reactions
128 Replies
1K Views
Wadau huyu shem wenu siku hizi akitoka kazini anarudi kaloana na inachukua muda kumkojoza aisee wataalamu hii imekaaje au nakula makombo?
11 Reactions
39 Replies
597 Views
wakuu kwema ? Na mimi natafuta mrembo mpole mwenye hofu ya mungu Nina 26yr mtanashati na najielewa, mimi ni mkristo location dar es salaam mishe international businessman + Engineer Ninajua...
4 Reactions
80 Replies
744 Views
Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu...
10 Reactions
55 Replies
572 Views
1.Boyfriend ni jina ambalo unapewa ili upumbuzwe na kubeba rasmi majukumu ya baba wa mwanamke. Inawezekana wapo wahuni ambao hawaitwi boyfriend na wanamnyandua. 2.Demu wako angekua na chaguo bora...
52 Reactions
166 Replies
7K Views
Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala...
78 Reactions
383 Replies
5K Views
Wadau, kuna vidume mandezi yanapigwa kifala sana na mademu. Demu ukimuonyesha unamuhitaji sana kingono kuliko yeye atakupiga tu na mbunye hupati. Vilio vimekuwa vingi sana mtaani, vidume...
3 Reactions
10 Replies
156 Views
Habari za wakati huu wakuu, Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenifanyia jambo la kikatili sana katika maisha yangu. Ni mwanamke pekee niliyempeleka nyumbani kwetu kumtambulisha...
22 Reactions
159 Replies
3K Views
Hodi wana jamvi, Katika pirika za maisha japokua tunapambana kutafuta maokoto Kunamda tunahitaji faraja angalau kutibu stress.ndipo pale tunakua na binadamu eva(mwanamke) ili kuweka msawazo wa...
13 Reactions
88 Replies
1K Views
Kuanzia watu wenye miaka 33 ambao hawajaingia kwenye ndoa Kuna uwezekano wakashindwa kuzimudu ndoa kabisa na kupelekea ongezeko la single mothers nchini Sahivi maisha yanaenda Kasi sana ebu...
6 Reactions
15 Replies
206 Views
Mnakataje ndoa kwan hamtak utamu wako mwenyewe ambao sio wakushea na masela. kama mimi hapa naenjoy utamu wa mama amina sishei na yeyote.
2 Reactions
7 Replies
99 Views
Wadau habari zenu, Hili swali ni kwa wote, yaani me na ke tujadili Umemfumania mpenzi au mke wako na mtu mwingine unapaswa kudili na nani? Kuna wanaume wanafikia hatua ya kuwaua au kuwafanya...
11 Reactions
75 Replies
571 Views
Muda muafaka haujafika? Bado unajipanga? Hauplan kuishi katika ndoa? Au bado upo 50 kwa 50 kuhusu uamuzi huo? Haujapata mdada sahihi?
4 Reactions
15 Replies
176 Views
Kwa tamaduni zetu za kiafrika mwanaume ndio amekuwa na jukumu kubwa katika mapenzi kuhudumia mpenzi,mke au familia kiujumla. Ikitokea mwanaume wako ameshuka kiuchumi kwa maana ya kwamba kapoteza...
3 Reactions
12 Replies
201 Views
Kuna watu wakishaoa au kuolewa tayari jukumu la kulinda afya zao wanawachia wenza wao. Yani anaamini kwa kuwa na mtu huyo huyo hataweza kupata magojwa? Swali je mwenza wako ni mwaminifu? Je...
8 Reactions
41 Replies
558 Views
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️ Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Kila akivua ananiambia nitoke nje, nikimuuliza anasema mimi wa kiume na yeye wa kike na hatak niuone uchi wake. Jaman mie mwenzenu simuelewi.
8 Reactions
34 Replies
597 Views
Habari zenu wana jukwaa? Ni sehemu gani hatarishi uliwahi kufanya ngono? Mimi ni hospital, nilimgegeda nurse ninayefahamiana nae.
146 Reactions
5K Replies
2M Views
Baadhi ya maudhi madogomadogo yanayokera wakati wa tendo 1. Mwenza kutoa harufu mbaya kama vile kutoa harufu mbaya mdomoni maungoni au sehemu za siri n.k 2. Mwenza kuwa na majeraha, madonda...
12 Reactions
100 Replies
2K Views
Wanaume wengi wanapenda wanawake weupe.wengi wanasema uweupe unavutia.ila uweusi unaogofya sana wengi wanausema uweusi unaharibu kizazi
7 Reactions
87 Replies
966 Views
Back
Top Bottom