Yaani unakuta binti anawaza kuolewa na mwanaume ambaye amemtengeneza yeye kwenye akili zake eti
Awe na Nyumba
Awe na gari
Awe na hela
Sawa na wewe unaolewa ukiwa na nini?
Kama hicho kiungo kila...
wakuu kwema ?
Na mimi natafuta mrembo mpole mwenye hofu ya mungu
Nina 26yr mtanashati na najielewa, mimi ni mkristo location dar es salaam mishe international businessman + Engineer
Ninajua...
1.Boyfriend ni jina ambalo unapewa ili upumbuzwe na kubeba rasmi majukumu ya baba wa mwanamke. Inawezekana wapo wahuni ambao hawaitwi boyfriend na wanamnyandua.
2.Demu wako angekua na chaguo bora...
Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala...
Wadau, kuna vidume mandezi yanapigwa kifala sana na mademu.
Demu ukimuonyesha unamuhitaji sana kingono kuliko yeye atakupiga tu na mbunye hupati.
Vilio vimekuwa vingi sana mtaani, vidume...
Habari za wakati huu wakuu,
Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenifanyia jambo la kikatili sana katika maisha yangu. Ni mwanamke pekee niliyempeleka nyumbani kwetu kumtambulisha...
Hodi wana jamvi,
Katika pirika za maisha japokua tunapambana kutafuta maokoto
Kunamda tunahitaji faraja angalau kutibu stress.ndipo pale tunakua na binadamu eva(mwanamke) ili kuweka msawazo wa...
Kuanzia watu wenye miaka 33 ambao hawajaingia kwenye ndoa Kuna uwezekano wakashindwa kuzimudu ndoa kabisa na kupelekea ongezeko la single mothers nchini
Sahivi maisha yanaenda Kasi sana ebu...
Wadau habari zenu,
Hili swali ni kwa wote, yaani me na ke tujadili
Umemfumania mpenzi au mke wako na mtu mwingine unapaswa kudili na nani?
Kuna wanaume wanafikia hatua ya kuwaua au kuwafanya...
Kwa tamaduni zetu za kiafrika mwanaume ndio amekuwa na jukumu kubwa katika mapenzi kuhudumia mpenzi,mke au familia kiujumla.
Ikitokea mwanaume wako ameshuka kiuchumi kwa maana ya kwamba kapoteza...
Kuna watu wakishaoa au kuolewa tayari jukumu la kulinda afya zao wanawachia wenza wao. Yani anaamini kwa kuwa na mtu huyo huyo hataweza kupata magojwa? Swali je mwenza wako ni mwaminifu? Je...
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️
Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani...
Baadhi ya maudhi madogomadogo yanayokera wakati wa tendo
1. Mwenza kutoa harufu mbaya kama vile kutoa harufu mbaya mdomoni maungoni au sehemu za siri n.k
2. Mwenza kuwa na majeraha, madonda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.