Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi nilipoteza ubikira wangu kwa kahaba... Inasikitisha sana lakini ndo ukweli wenyewe. Nakumbuka kipindi hicho tulipokuwa shule ya sekondari. Ikifika mida ya saa mbili usiku rafiki yangu...
16 Reactions
170 Replies
4K Views
Kila mchepuko umetokea kutamani kuzaa na mimi Hii imepelekea kukaribia kuwa na watoto 20, wengine wanahudumiwa na mama zao na mimi pia kuwapa ushirikiano kwa vitu vidogo vidogo ili maisha yaweze...
13 Reactions
72 Replies
714 Views
Sitaki mke sitaki kuwa na watoto.mimi naish kisela na mademu tu mradi tu nipate mechi mimi nipo sawa. sion faida mke na watoto ni shida tupu.
10 Reactions
34 Replies
511 Views
Wakati wa zoezi la kusaka mwenza, mpenzi, mke au mme huwa kuna mbinu mbalimbali hutumika, wengine hupeleka zawadi ili kuanza kuvuta ukaribu wa mazungumzo, wengine hutuma watu wawasemee, wengine...
9 Reactions
63 Replies
1K Views
Niliwahi kuleta mada hapa miezi kazaa nyuma wale kijana wa miaka 26 na mtu mpenzi mtoto ana miaka 29, 1.Sasa yule mdogo wangu anasema akijaribu kuingia kwenye mahusiano na wasichana wenye miaka...
1 Reactions
5 Replies
125 Views
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa...
8 Reactions
86 Replies
926 Views
Usidharau unachopata kidhamini nacho kitakupa kikubwa hata kama ni jero
4 Reactions
14 Replies
180 Views
Leo ni siku ya magirlfriend nakupenda sana manka kipenzi.ww n kitulizo cha moyo wangu.
5 Reactions
22 Replies
222 Views
Heshima ni zawadi kubwa kuliko vitu vyote vya thamani. Mtu anaweza kukununulia kila unachotamani, lakini akakudhalilisha mbele za watu, amepunguza thamani ya zawadi zake. Zawadi huisha, lakini...
4 Reactions
5 Replies
83 Views
Hellow wana JF. Ukioa/olewa na mtu ambaye mama yake au baba yake ni shangingi yani hawajui chochote kuhusu ndoa there is no way kwamba hiyo ndoa yenu inaweza kudumu. Ndiyo maana ndoa nyingi...
13 Reactions
55 Replies
572 Views
Yaani unakuta binti anawaza kuolewa na mwanaume ambaye amemtengeneza yeye kwenye akili zake eti Awe na Nyumba Awe na gari Awe na hela Sawa na wewe unaolewa ukiwa na nini? Kama hicho kiungo kila...
22 Reactions
128 Replies
1K Views
Wadau huyu shem wenu siku hizi akitoka kazini anarudi kaloana na inachukua muda kumkojoza aisee wataalamu hii imekaaje au nakula makombo?
11 Reactions
39 Replies
598 Views
wakuu kwema ? Na mimi natafuta mrembo mpole mwenye hofu ya mungu Nina 26yr mtanashati na najielewa, mimi ni mkristo location dar es salaam mishe international businessman + Engineer Ninajua...
4 Reactions
80 Replies
744 Views
Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu...
10 Reactions
55 Replies
572 Views
1.Boyfriend ni jina ambalo unapewa ili upumbuzwe na kubeba rasmi majukumu ya baba wa mwanamke. Inawezekana wapo wahuni ambao hawaitwi boyfriend na wanamnyandua. 2.Demu wako angekua na chaguo bora...
52 Reactions
166 Replies
7K Views
Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala...
78 Reactions
383 Replies
5K Views
Wadau, kuna vidume mandezi yanapigwa kifala sana na mademu. Demu ukimuonyesha unamuhitaji sana kingono kuliko yeye atakupiga tu na mbunye hupati. Vilio vimekuwa vingi sana mtaani, vidume...
3 Reactions
10 Replies
156 Views
Habari za wakati huu wakuu, Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenifanyia jambo la kikatili sana katika maisha yangu. Ni mwanamke pekee niliyempeleka nyumbani kwetu kumtambulisha...
22 Reactions
159 Replies
3K Views
Hodi wana jamvi, Katika pirika za maisha japokua tunapambana kutafuta maokoto Kunamda tunahitaji faraja angalau kutibu stress.ndipo pale tunakua na binadamu eva(mwanamke) ili kuweka msawazo wa...
13 Reactions
88 Replies
1K Views
Kuanzia watu wenye miaka 33 ambao hawajaingia kwenye ndoa Kuna uwezekano wakashindwa kuzimudu ndoa kabisa na kupelekea ongezeko la single mothers nchini Sahivi maisha yanaenda Kasi sana ebu...
6 Reactions
15 Replies
207 Views
Back
Top Bottom