Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu...
71 Reactions
6K Replies
983K Views
Ni viashiria gani uliviona tu ukajua hapa hamna kitu huyu ni kicheche yaani concubine.
2 Reactions
15 Replies
332 Views
‎Why Silent Wives Are the Most Dangerous Wives in Marriage - By Bisi Adewale ‎ ‎Silence in a wife is not peace. ‎Silence is not submission. ‎Silence is not maturity. ‎Most times, silence is a...
1 Reactions
9 Replies
209 Views
Aina 4 Za Wanawake Wanaokimbiwa Zaidi Na Wanaume 1. Controllers Hawa Ni Wale Wanawake Ambao, Kwa Sababu Ya Elimu, Vyeo, Umaarufu, Upeo Wa Kufikiri na NGUVU Fulani Waliyonayo, Huwa Wanataka...
13 Reactions
72 Replies
1K Views
USIMCHUKIE BABA YAKO HUJUI SABABU GANI ILIPELEKEA AKAACHANA NA MAMA YAKO. Chukua hizi busara zitunze kwenye moyo wako na uzitumie, zitaweza kukusaidia katika safari yako ya maisha. Ni kawaida...
5 Reactions
8 Replies
224 Views
Wasalam Wana JF Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa...
4 Reactions
29 Replies
428 Views
Jumapili njema wanajukwaa,vp leo n nan ulie umemiss kinoma.
5 Reactions
44 Replies
339 Views
Mara nyingi watu wanaojaribu kuishi kwa uadilifu, kanuni na heshima ndio wanaopitia majaribu mengi zaidi. Kisaikolojia, hii sio bahati mbaya. Maisha yana tabia ya kuwajaribu zaidi wale...
1 Reactions
0 Replies
103 Views
Enzi nikiwa skuli ya msingi,sekondari mpaka chuo nilikuwa mpiga nyeto promax, sasa nipo uraiani,kila nikijaribu kufanya mapenzi na my wife niliyemuoa hivi karibuni machine haisimami! Naenda...
15 Reactions
118 Replies
2K Views
Siko hapa kujitapa kuwa usafiri wangu ni wa ndege kama ambavyo baadhi yenu mnaweza kutafsiri. Ila issue nzima iko hivi leo asubuhi nilikua na flight ya kuelekea mikoa ya nyanda za juu kusini...
3 Reactions
80 Replies
1K Views
Wakuu Niisiulizwe kuwa asubuhi hii unazungumzia mapenzi, maana nina kama miezi 8 hivi namfukuzia demu bado hajanikubalia, So nimeona nilete mada hii asubuhi asubuhi nipate mwongozo kuwa...
5 Reactions
24 Replies
336 Views
Hamjambo wote! Kuna watu wanafurahisha Sana. Ati wanamshangaa na kumsimanga Azizi Ki kwa kutoa Mahari 30m na Ng'ombe 30 na kumshutumu na kumkejeli kwamba ni mshamba sijui kanunua gazeti la Juzi...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Yaani alikua ananisumbua kinyama Sasa nashangaa Sasa hivi anashobo na Mimi nishamchoka hata kabla sijagonga aisee yaani nashangaa tu sinamzuka nae hizi meseji za Jana sijamjibu mpaka Leo...
1 Reactions
28 Replies
459 Views
Napitia wakati mgumu Mke wangu ananinyima tendo la ndoa kisa israel na iran wanapigana
4 Reactions
12 Replies
150 Views
Kuna hii datting site inaitwa bibo mwenye uzoefu nayo wanatumia mfumo wa credit(coin) aisee credit inaliwa kama maji. Na madem nawaona ni wengi mpaka najiuliza ni watu halisi au ni marobot japo...
8 Reactions
64 Replies
731 Views
Hali ya mvua, plus ni weekend, utulivu wa kutosha. Nyie huwa mnafanya nini nyakati kama hizi.
6 Reactions
29 Replies
447 Views
Jipange vizuri kiuchumu, tafuta mwenza sahihi, usisikilize maneno ya watu au fulani kaoa ngoja na mimi nioe try at you own risk. Jipange kwanza usifate mkumbo
13 Reactions
62 Replies
571 Views
Kwa wanawake wote wa Jamiiforums 🌸🌸 Leo tunasimama kuwapongeza na kuwashukuru kwa nguvu, hekima, na mchango wenu mkubwa katika jamii. Ninyi ni chanzo cha upendo, ujasiri, na mabadiliko chanya...
14 Reactions
38 Replies
267 Views
niende moja kwa moja. mabinti wengi wana matumbo flat, wamekaukiana, ngozi na makalio magumu, hawana usoft wa kutosha, hawana mafuta, hawana makalio. Sifa hizo tajwa kwangu sizitaki, wanawake...
13 Reactions
71 Replies
1K Views
Back
Top Bottom