Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi...
KAMA FAMILIA YENU MNAISHI KWA UPENDO, MSHUKURUNI SANA MUNGU.
Miaka ya nyuma pindi tunakuwa kwa kiasi kikubwa familia nyingi zilikuwa na upendo, maelewano, na kutembeleana mara kwa mara.
Lakini...
Ushawahi kupigwa huo mkwara? ilikuwaje kuwaje na je ulipewa au ulitoa tamu? au ulitoka kapa?
Acha nianze:
Kitambo hicho chuo tulikua kipindi cha mitihani, kaboyfriend kakaniomba niende room kwake...
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa...
Usiumizwe sana na marafiki wa ukubwani
Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani
Wachache sana huwa wakweli na wasio na agenda kificho
Marafiki wa kukutana high school
Marafiki wa kukutana vyuoni...
•Mimi Kuna siku tumbo liliunguruma akasema nifundishe na Mimi
•Siku nyingine akaniambia eti nikimuacha atakunywa maji ya mvua afe
•Juzi hapa akaniambia anatoka mara moja kumbe kaenda dubai
Leo kuna sehemu fulani nilikuwa nimekaa zangu nakunywa soda. Karibu yangu kulikuwa na baba mmoja wa makamo kidogo, alikuwa meza ya pembeni anakunywa pombe na tayari alikuwa amelewa chakalii...
𝗗𝗔𝗗𝗔 𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗘𝗟𝗔, 𝗞𝗨𝗢𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗢 𝗔𝗝𝗜𝗥𝗔.
Dada hatakama maisha magumu na huna kazi ila usiharakie kuolewa kama back-up ya kupata msaada wa mume.
Olewa kama ni mapenzi na mipango ya pamoja kati yako na...
Kuna kidume kinalalamika wanawake wako tayari kutoa penzi la bure kwa wanaume tajiri au maarufu wakati kwa mafukara na wavuja jasho wanawabania wakitaka chochote kitu kwanza!
Ni jambo linalotia...
Huyu dada namkubali. Sana Najma Paul mwambieni jamani ucheshi wako lmimi ni shabiki wako, NAKUPENDA sana Mimi kijana wa hovyo sijui umeolewa Sina kitu Sina hela, Mimi ni kafwebe 😞
Let's be short and clear...
Kama kijana, unawezaje kukabiliana na wimbi kubwa la ushawishi wa wanawake wa Rika zote eneo lako la kazi, hasa ukiwa mgeni kazini?
Unawezaje kuepuka bila kuvunja...
Tusemeni ukweli eti una mpenzi halafu jana hajakutext wala hajakukumbuka kwa lolote .
ILIKUUMA pasuka tu pah na useme kwenye huu uzi uliumiaje?? Ili hata uishi kwa amani.
Yaani kila mtu...
Kaka zangu naombeni ushauri
Mimi ni kijana wa miaka 24 Nahitaji kuoa mwaka huu Inshallah Mwezi wa 7, sasa kipengele kuhusu huyu mwanamke yupo mwaka 1 chuo ananipenda sana anataka nimuoe ila...
Kila mtu ameweka profile picture na avator yenye kumaanisha jambo fulani. Ie. Wengine hawajawaka. Naongea na wewe ambaye uweweka. Je ina maana gani au umeweka tu? Kwangu mimi avator yangu ina...
Ndugu zangu.
Imekua ngumu sana kwa sisi wachakataji kupata msicha bikira ulimwenguni hapa.
Pia ni hivyo hivyo ngumu kwa waoaji kuoa binti bikira, unakuta msichana alibikiriwa na baba yake...
Huu wosia nauacha kwa mke wangu na wale wote wanaopenda kuoa wake za marehemu.
Sasa kwa mke wangu nawaambia msije mkamuoa, haiwezekani mahali pangu pa kujidai, namkubja ninavyojisikia eti aje...
Wanazengo nimemvaa mwanamke mmoja ila na wasiwasi sana na mbaya zaidi nilipiga kavu. Kwa mwenye ufaham hivi zile dawa za kuzuia maambukiz baada ya kupiga demu mweny ugonjwa yaan PEP zinapatikana...
MKE WANGU KAOLEWA
Namuombea laana, yeye na kizazi chake
Asipate cha maana, yeye na wazazi wake
Naamba kwa maulana, kumhusu mja wake
Mke wangu kaolewa
Nilifanya kila hali, wao wapate amani
Haramu...
Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.