Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi...
27 Reactions
89 Replies
7K Views
KAMA FAMILIA YENU MNAISHI KWA UPENDO, MSHUKURUNI SANA MUNGU. Miaka ya nyuma pindi tunakuwa kwa kiasi kikubwa familia nyingi zilikuwa na upendo, maelewano, na kutembeleana mara kwa mara. Lakini...
13 Reactions
21 Replies
379 Views
Ushawahi kupigwa huo mkwara? ilikuwaje kuwaje na je ulipewa au ulitoa tamu? au ulitoka kapa? Acha nianze: Kitambo hicho chuo tulikua kipindi cha mitihani, kaboyfriend kakaniomba niende room kwake...
32 Reactions
412 Replies
7K Views
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa...
71 Reactions
324 Replies
42K Views
Usiumizwe sana na marafiki wa ukubwani Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani Wachache sana huwa wakweli na wasio na agenda kificho Marafiki wa kukutana high school Marafiki wa kukutana vyuoni...
71 Reactions
179 Replies
12K Views
•Mimi Kuna siku tumbo liliunguruma akasema nifundishe na Mimi •Siku nyingine akaniambia eti nikimuacha atakunywa maji ya mvua afe •Juzi hapa akaniambia anatoka mara moja kumbe kaenda dubai
2 Reactions
8 Replies
186 Views
Haya mapenzi yanatesa sana,nimeamua ntafute hela maana nikijikita huko nnapoteza mal nlizo nazo.Ila nkiwa na hamu ntapg nyet hayo mambo yantok
2 Reactions
9 Replies
158 Views
Leo kuna sehemu fulani nilikuwa nimekaa zangu nakunywa soda. Karibu yangu kulikuwa na baba mmoja wa makamo kidogo, alikuwa meza ya pembeni anakunywa pombe na tayari alikuwa amelewa chakalii...
4 Reactions
22 Replies
421 Views
𝗗𝗔𝗗𝗔 𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗘𝗟𝗔, 𝗞𝗨𝗢𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗢 𝗔𝗝𝗜𝗥𝗔. Dada hatakama maisha magumu na huna kazi ila usiharakie kuolewa kama back-up ya kupata msaada wa mume. Olewa kama ni mapenzi na mipango ya pamoja kati yako na...
9 Reactions
65 Replies
587 Views
Kuna kidume kinalalamika wanawake wako tayari kutoa penzi la bure kwa wanaume tajiri au maarufu wakati kwa mafukara na wavuja jasho wanawabania wakitaka chochote kitu kwanza! Ni jambo linalotia...
4 Reactions
25 Replies
238 Views
Huyu dada namkubali. Sana Najma Paul mwambieni jamani ucheshi wako lmimi ni shabiki wako, NAKUPENDA sana Mimi kijana wa hovyo sijui umeolewa Sina kitu Sina hela, Mimi ni kafwebe 😞
9 Reactions
134 Replies
2K Views
Let's be short and clear... Kama kijana, unawezaje kukabiliana na wimbi kubwa la ushawishi wa wanawake wa Rika zote eneo lako la kazi, hasa ukiwa mgeni kazini? Unawezaje kuepuka bila kuvunja...
5 Reactions
15 Replies
232 Views
Tusemeni ukweli eti una mpenzi halafu jana hajakutext wala hajakukumbuka kwa lolote . ILIKUUMA pasuka tu pah na useme kwenye huu uzi uliumiaje?? Ili hata uishi kwa amani. Yaani kila mtu...
14 Reactions
74 Replies
765 Views
Kaka zangu naombeni ushauri Mimi ni kijana wa miaka 24 Nahitaji kuoa mwaka huu Inshallah Mwezi wa 7, sasa kipengele kuhusu huyu mwanamke yupo mwaka 1 chuo ananipenda sana anataka nimuoe ila...
14 Reactions
115 Replies
2K Views
Kila mtu ameweka profile picture na avator yenye kumaanisha jambo fulani. Ie. Wengine hawajawaka. Naongea na wewe ambaye uweweka. Je ina maana gani au umeweka tu? Kwangu mimi avator yangu ina...
3 Reactions
18 Replies
211 Views
Ndugu zangu. Imekua ngumu sana kwa sisi wachakataji kupata msicha bikira ulimwenguni hapa. Pia ni hivyo hivyo ngumu kwa waoaji kuoa binti bikira, unakuta msichana alibikiriwa na baba yake...
1 Reactions
5 Replies
171 Views
Huu wosia nauacha kwa mke wangu na wale wote wanaopenda kuoa wake za marehemu. Sasa kwa mke wangu nawaambia msije mkamuoa, haiwezekani mahali pangu pa kujidai, namkubja ninavyojisikia eti aje...
2 Reactions
7 Replies
127 Views
Wanazengo nimemvaa mwanamke mmoja ila na wasiwasi sana na mbaya zaidi nilipiga kavu. Kwa mwenye ufaham hivi zile dawa za kuzuia maambukiz baada ya kupiga demu mweny ugonjwa yaan PEP zinapatikana...
3 Reactions
37 Replies
312 Views
MKE WANGU KAOLEWA Namuombea laana, yeye na kizazi chake Asipate cha maana, yeye na wazazi wake Naamba kwa maulana, kumhusu mja wake Mke wangu kaolewa Nilifanya kila hali, wao wapate amani Haramu...
3 Reactions
8 Replies
270 Views
Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa? Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote...
22 Reactions
516 Replies
5K Views
Back
Top Bottom