Ndo nimetoka kumtuma boda ampelekee shangazi yenu vizawadi vidogo muda huu kuadhimisha siku hii
Wadada wa humu mshapokea zawadi? 👀
Au ndo kila kitu kheri? Natamani nione mchango wa Binti wa...
Wanawake ambao huwa wanatoa namba za simu kwa uchangamfu mkubwa tu baada ya kuombwa na wanaume kisha wakishaachana wanawapotezea (ghost) au kujifanya matawi huwa ni wapuuzi wakubwa sana.
Kama...
najua ni katikati ya siku ya kazi ila naomba unijibu hili swali
binafsi naipa 60%
hiyo ingine ndo vitu vingine kutoka kwa partner
sababu:vitu vingine unaweza pata popote ila sex kama mjuavyo ni...
Kuna andiko nimesoma kwenye ukurasa mmoja mtandaoni, ukielezea changamoto inayowakuta wanaume wanaopenda mahusiano ya mteremko.
Atakuja mdada, na atakuwekea mazingira ya kukutaka kimahusiano, na...
Kama nilivyolelewa na singo matha na mimi pia nataman kuwa singo faz.
Ninawatapel madem kupitia hela ananizalia mtoto akiwa na mwaka na mpokonya.namletea...
Nadhani mnajua mm siletagi chai hapa sasa nyumba nnayokaa kigamboni kuna mwana kahamia juzi tu hana miezi 2 baada ya kutoka kuowa akachukua apartment pale akahamia na mkewe wameanza maisha mapya...
Hellow wana JF.
Nimeweka video hapo chini.👇👇
Watu wanamaumivu makali, watu wanauchungu mkubwa, watu wamekata tamaa kabisa, watu wamechanganyikiwa, watu wana vidonda vya moyo visivyo kauka, watu...
Mama yangu ulifunza kuwa ndoa mbovu na haina dhamana.
Ila ulinieleza na mimi nitafute mwanamke anizalie watoto ila nisimuoe.
Asante mama kwa ushauri wako.
Wakuu vip hapo
Nimepewa taarifa mbaya San kwamba jana majira ya saa tatu za usk jirani angu alimpost mchepuko wake aje ampige shoo fupi nje ya choo, choo Cha nje ya public
Dad yule ni mpole sna...
Kuhudumiwa na mwanaume ni suala ambalo wanawake wanakubaliana nalo, lakini ni mfumo dume, ambao wanawake wanaupiga vita. Mwanaume kumuhudumia mwanamke ni suala la kupigwa vita, sio kupongezwa...
Habarini ndugu Wanabodi wa JF!
Naenda kwenye kiini cha mada moja kwa moja.
Nina changamoto... hata nikiongea kwa upole na kawaida, wasikilizaji wangu wanadai kuwa nimechukia na nafoka,, yaani...
Siku ya 5 hii nipo South Africa.... Daaaah.... Kuna mitoto imeumbika huku wallah.... Ina neema za Allah... Yaani nikitembea shingo feni macho mia mia. Wallah mabata ushungu...! Nlitamani niishi...
Tangu niyafahamu mapenzi sijawahi kukaa mda mrefu namna hii bila kushiriki, mpaka sasa ni miezi miwili sasa nimejikuta tu nimeshazoea nadhani naweza kumaliza hata mwaka.
Kwako mdau upi ni muda...
Katika ulimwengu huu wenye kelele nyingi lakini uliojaa mioyo pweke, swali hili halitoki tu midomoni, bali linasikika kama kilio cha chini chini kutoka ndani kabisa ya roho inayotafuta makazi...
1. Katika harakati za utafutaji nilikutana na lishangazi la Kireno likiwa linafanya kazi kama Meneja Hoteli Dar (Masaki).
2. Aisee ana nundu sio poa. Nikajenga ukaribu akiwa bongo. Nikaanza...
Wakuu,
Sauti nzito zimekuwa adimu sana. Yaani wakaka tunashare nao tu frequency za sauti. Akiongea George kama kaongea Zurie na vice versa is true.
Mwanaume anakwambia kitu hata hakiingii saaana...
Kuna wanaume wanaosema “dini inataka mwanaume aoe bikira,” kana kwamba ubikira ni guarantee ya kupata mwanamke bora. Ni lazima tutenganishe fundisho la dini, preference binafsi na character ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.