Jamaa mmoja aliingia saluni akakuta Pana watu kama watano na kinyozi wa sita.
Akauliza kama kuna foleni kubwa akajibiwa kwamba wanao nyoa ni watatu tu yaani aliyekuwa ananyoa kwa muda ule na...
Habari, Nina umri wa miaka 25 natafuta mwanamke asiezidi miaka 26 awe mke wangu awe tayari kunizalia tuanzishe familia. NB: ASIWE BONGE awe mwembamba lakin sio sana
Hapo ukiforce bila ridhaa yake ni kosa la jinai ila huyu mtu tumekubaliana kabisa Kuwa akija tunamalizana ghafla kabadilisha maamuzi.
Huu si unyanyasaji wa hisia mi nishakula vinavyohitajika...
Wapo wanaosema kwamba mpenzi anapaswa kujua password ya simu ya mwenzake kwa sababu mahusiano yanajengwa juu ya uwazi na uaminifu. Kwa mtazamo wao, mtu asiye na jambo la kuficha hana sababu ya...
CHUKUA HII
Kupenda hua inatokea tu msichana umempenda sana au mvulana
Ila nawapa kavu acha ujinga jinga wa kung,ang,ania.. sehemu usipopendwa ng,ang,ania sehemu ambayo
Unapenda na...
Kuna mwanamke unaweza kukutana nae MAISHANI akawa kama Baraka kwako, Yaani Milango ya Fursa inafunguka Hadi unajiuliza hii ni nini,
BINAFSI nakumbuka nimewahi kudate na Mwanamke ambaye Hadi...
Nilipata likizo fupi nikasema hebu niende Vientiane na wenzangu kula maisha Kidogo,
Kwa wasioijua Vientiane ni mji mkuu wa kinchi kimoja kiko Asia kinaitwa Loas, kuna totoz balaa nilienda Mpaka...
Vitaa
Labda uwe na pesa na umpate mwaminifu the sometimes uwe mmekubaliana , uwe unaweza kumridhisha mwenzako , mridhishane wote, mvumiliane, sijui kama yote haya yanawezekana
Ila ndoa ni tamu...
Mwanasaikolojia Charles Nduku akihojiwa kupitia Clouds Media, amesema kwa mazingira ya sasa usimruhusu mtoto wako kulala na mtu yeyote.
Anaeleza...
"Unajua jaribu kutafuta historia... tuchukue...
Njoo ubishe
Kwa mwanaume akisha balehe tu utamu unaanza hapo
Ila Kwa mwanamke anaanza kuhisi raha halisi ya sex pale anapofikisha miaka 28, ndio maana ukimpata mwanamke mwenye miaka hiyo na...
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria.
(me na ke).
Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa?
2 au kua na mwanamke mmoja?
3 au kua handsam?
nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w
WANAWAKE...
"Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa."
"Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?"
"Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?"
"kuna watu wanachezea hela."
"sijui niwa unfollow hawa...
Asalalleh..........natumai mu wazima wa afya njema wagonjwa wote Mungu awape uponyaji.
Ndugu zangu leo ningependa niulize hili swali kwa pande zote. Kama wewe ni kijana hujaoa, binti hujaolewa...
Hellow wana JF.
Siku hizi kumeibuka makundi ya watu wanaokula wake za watu na kuwatupia lawama waume zao kwamba hawatimizi majukumu yao yote kama mume.
Swali langu kwa wewe unaye kula wake za...
Wanawake tunapenda Kupendwa, Kuheshimiwa, Kuthaminiwa, kusikilizwa,Kusifiwa, kuhudumiwa na mambo mengine mazuri kama hayo.
Kuhusu kupendwa
tunapenda upendo unaoonekana kwa vitendo, hususan...
Habari zenu,
Miaka 3 iliyo pita nilifanikiwa kuitwa baba nikiwa na umri wa miaka 22 ambapo nilipata mabinti zangu mapacha kutoka kwa Binti wa kijerumani Greta Friedrich
Mimi na Greta tulikutana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.