Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ebu naombeni tafsiri ya wazi ya kusema "mwanamke flani ni mrembo" Neno urembo hasa tunazingatia nini?
2 Reactions
9 Replies
93 Views
Jamaa mmoja aliingia saluni akakuta Pana watu kama watano na kinyozi wa sita. Akauliza kama kuna foleni kubwa akajibiwa kwamba wanao nyoa ni watatu tu yaani aliyekuwa ananyoa kwa muda ule na...
2 Reactions
3 Replies
176 Views
Habari, Nina umri wa miaka 25 natafuta mwanamke asiezidi miaka 26 awe mke wangu awe tayari kunizalia tuanzishe familia. NB: ASIWE BONGE awe mwembamba lakin sio sana
3 Reactions
18 Replies
197 Views
Hapo ukiforce bila ridhaa yake ni kosa la jinai ila huyu mtu tumekubaliana kabisa Kuwa akija tunamalizana ghafla kabadilisha maamuzi. Huu si unyanyasaji wa hisia mi nishakula vinavyohitajika...
9 Reactions
36 Replies
277 Views
Wapo wanaosema kwamba mpenzi anapaswa kujua password ya simu ya mwenzake kwa sababu mahusiano yanajengwa juu ya uwazi na uaminifu. Kwa mtazamo wao, mtu asiye na jambo la kuficha hana sababu ya...
2 Reactions
8 Replies
89 Views
CHUKUA HII Kupenda hua inatokea tu msichana umempenda sana au mvulana Ila nawapa kavu acha ujinga jinga wa kung,ang,ania.. sehemu usipopendwa ng,ang,ania sehemu ambayo Unapenda na...
4 Reactions
26 Replies
171 Views
Kuna mwanamke unaweza kukutana nae MAISHANI akawa kama Baraka kwako, Yaani Milango ya Fursa inafunguka Hadi unajiuliza hii ni nini, BINAFSI nakumbuka nimewahi kudate na Mwanamke ambaye Hadi...
4 Reactions
14 Replies
501 Views
Nilipata likizo fupi nikasema hebu niende Vientiane na wenzangu kula maisha Kidogo, Kwa wasioijua Vientiane ni mji mkuu wa kinchi kimoja kiko Asia kinaitwa Loas, kuna totoz balaa nilienda Mpaka...
39 Reactions
174 Replies
5K Views
Vitaa Labda uwe na pesa na umpate mwaminifu the sometimes uwe mmekubaliana , uwe unaweza kumridhisha mwenzako , mridhishane wote, mvumiliane, sijui kama yote haya yanawezekana Ila ndoa ni tamu...
1 Reactions
1 Replies
70 Views
Mwanasaikolojia Charles Nduku akihojiwa kupitia Clouds Media, amesema kwa mazingira ya sasa usimruhusu mtoto wako kulala na mtu yeyote. Anaeleza... "Unajua jaribu kutafuta historia... tuchukue...
0 Reactions
4 Replies
78 Views
Njoo ubishe Kwa mwanaume akisha balehe tu utamu unaanza hapo Ila Kwa mwanamke anaanza kuhisi raha halisi ya sex pale anapofikisha miaka 28, ndio maana ukimpata mwanamke mwenye miaka hiyo na...
3 Reactions
27 Replies
279 Views
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria. (me na ke). Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
17 Reactions
422 Replies
4K Views
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa? 2 au kua na mwanamke mmoja? 3 au kua handsam? nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w WANAWAKE...
7 Reactions
48 Replies
480 Views
"Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa." "Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?" "Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?" "kuna watu wanachezea hela." "sijui niwa unfollow hawa...
7 Reactions
54 Replies
771 Views
Asalalleh..........natumai mu wazima wa afya njema wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Ndugu zangu leo ningependa niulize hili swali kwa pande zote. Kama wewe ni kijana hujaoa, binti hujaolewa...
6 Reactions
42 Replies
439 Views
Binti wa zamani umepotea sana JF ukiwa hauko kunaboa sana.nmemiss zile nyuzi za baba mjengo zilizojaa mahaba tele.
1 Reactions
2 Replies
45 Views
Hellow wana JF. Siku hizi kumeibuka makundi ya watu wanaokula wake za watu na kuwatupia lawama waume zao kwamba hawatimizi majukumu yao yote kama mume. Swali langu kwa wewe unaye kula wake za...
24 Reactions
205 Replies
3K Views
Chapter +1. Still the main character👸 May this new age of mine be good and kind as i am…. 🥂to more many steps ahead 🥳🥳🥳
18 Reactions
67 Replies
577 Views
Wanawake tunapenda Kupendwa, Kuheshimiwa, Kuthaminiwa, kusikilizwa,Kusifiwa, kuhudumiwa na mambo mengine mazuri kama hayo. Kuhusu kupendwa tunapenda upendo unaoonekana kwa vitendo, hususan...
34 Reactions
462 Replies
4K Views
Habari zenu, Miaka 3 iliyo pita nilifanikiwa kuitwa baba nikiwa na umri wa miaka 22 ambapo nilipata mabinti zangu mapacha kutoka kwa Binti wa kijerumani Greta Friedrich Mimi na Greta tulikutana...
1 Reactions
13 Replies
155 Views
Back
Top Bottom