Vitaa
Labda uwe na pesa na umpate mwaminifu the sometimes uwe mmekubaliana , uwe unaweza kumridhisha mwenzako , mridhishane wote, mvumiliane, sijui kama yote haya yanawezekana
Ila ndoa ni tamu...
Mwanasaikolojia Charles Nduku akihojiwa kupitia Clouds Media, amesema kwa mazingira ya sasa usimruhusu mtoto wako kulala na mtu yeyote.
Anaeleza...
"Unajua jaribu kutafuta historia... tuchukue...
Njoo ubishe
Kwa mwanaume akisha balehe tu utamu unaanza hapo
Ila Kwa mwanamke anaanza kuhisi raha halisi ya sex pale anapofikisha miaka 28, ndio maana ukimpata mwanamke mwenye miaka hiyo na...
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria.
(me na ke).
Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa?
2 au kua na mwanamke mmoja?
3 au kua handsam?
nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w
WANAWAKE...
"Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa."
"Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?"
"Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?"
"kuna watu wanachezea hela."
"sijui niwa unfollow hawa...
Asalalleh..........natumai mu wazima wa afya njema wagonjwa wote Mungu awape uponyaji.
Ndugu zangu leo ningependa niulize hili swali kwa pande zote. Kama wewe ni kijana hujaoa, binti hujaolewa...
Hellow wana JF.
Siku hizi kumeibuka makundi ya watu wanaokula wake za watu na kuwatupia lawama waume zao kwamba hawatimizi majukumu yao yote kama mume.
Swali langu kwa wewe unaye kula wake za...
Wanawake tunapenda Kupendwa, Kuheshimiwa, Kuthaminiwa, kusikilizwa,Kusifiwa, kuhudumiwa na mambo mengine mazuri kama hayo.
Kuhusu kupendwa
tunapenda upendo unaoonekana kwa vitendo, hususan...
Habari zenu,
Miaka 3 iliyo pita nilifanikiwa kuitwa baba nikiwa na umri wa miaka 22 ambapo nilipata mabinti zangu mapacha kutoka kwa Binti wa kijerumani Greta Friedrich
Mimi na Greta tulikutana...
Ni mtoto wa miaka mi 5 kutotaka shule na ukimpeleka shule analia, na kusema siwezi kujifunza kitu hicho hicho kila siku
Nilileta uzi hapa Wadau wengi walinishauri na nikachukua ushauri wao...
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
Hivi unadhani utapendwa vile vile after 10years or 5 years?
Hivi unadhani uzuri uliomchagulia utakuwepo after 15 years or 10 years.
Hivi unadhani kuna atakaevumilia 6 years ya kupata sex sehemu...
Kama huyu mke wangu mama amina ananiheshimu sana maana mimi masta kitandani.huwa namshushia dozi vibaya mpaka anakiri kwel ww ni mwanaume sio bora mwanaume.
Wakuu, Habarini?
Mimi ni mdau zaidi wa kusoma Nyuzi hapa JF kuliko kuandika Nyuzi.
Lakini leo nimeona na mimi warau nivunje Ukimya, nipate kushuhudia jinsi Forum hii imenifungulia mlango...
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.