Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Mbona mmeanza kutuogopesha wajamene Yaan kila ukifingua fb unakutana na sijui unatatizo la kuwahi kutandani Una tatixo la mashine kulegeaaaa Wengine vidada nahisi kama vina tumia majina ya kike...
5 Reactions
20 Replies
216 Views
Sikuwa na lengo ka kuanzisha uzi katika muda mbovu kama huu, ila nimeshindwa kujizuia. Kelele nilizoziona kwa wingi ni juu ya kufunga ndoa au kutokufunga ndoa; lakini je, tunataka watu wafunge...
26 Reactions
102 Replies
10K Views
Angalizo: andiko hili linaweza kuwa na lugha ngumu na Kali. Hivyo kama wewe sio mpenzi, unahasira, au ukisikia lugha ngumu unakereka, unapoteza furaha, unahisi kudhalilika au kupoteza heshima...
17 Reactions
277 Replies
2K Views
Daah! Wakuu sisi tunaoishi na SINGLE MOTHERS tuwe makini sana. Mwenzetu huko Afrika Kusini aliyekuwa akiishi na single mama yamemkuta. Kaamriwa kuendelea kulipia matunzo ya watoto wa single mama...
1 Reactions
21 Replies
361 Views
Eti, "...mwenye hofu ya mungu..." Kwa nini mungu anaogopwa hivi? 🤔. Seran.
9 Reactions
97 Replies
587 Views
Daah Nakutana na vituko gani sijui Huyu sasa ni Muhaya yaani kwa namna anavyojisifia ananikata stimu Sasa kuna haja gani ya mwanaume kuanza kujisifiasifia mara nina mabiashara mara mahela...
16 Reactions
96 Replies
950 Views
Yaani nilikuaga nikitongoza demu lazima anichomolee Sasa hivi nimeanza mazoezi kitambi kimetoka napiga pamba Kali aisee huwezi amini wakuu mpaka wake za watu wananishobokea nilikua najiona na...
5 Reactions
31 Replies
564 Views
Single mother anaweza kupanga sehemu ya kuishi au kufanya biashara (chumba, frame au apartment) na watu wanaomzunguka wasijue kuwa ana mtoto. Mtoto anaweza kuwa anaishi kwa ndugu au sehemu...
2 Reactions
25 Replies
425 Views
Wakati mwingine inabidi uwe gentleman unayemjali mpenzi wako, kumnunulia maua au zawadi ndogo. Hii sio simping, ni kuwa gentleman. Kumfungulia mpenzi wako mlango au kumsaidia kubeba vitu vyake...
3 Reactions
31 Replies
389 Views
Habari za usiku Mimi napitia changamoto ya kimahusiano. Tumenyamaziana na mwanaume niliyekuwa na mahusiano hii ni week ya 4. Kusema ukweli sina kosa lolote nililolifanya ila ni yeye ndio alikuwa...
20 Reactions
254 Replies
4K Views
Hakuna watu wanaongoza kucheat kwenye mahusiano kama wanawake !!
1 Reactions
5 Replies
170 Views
Kuna jambo nimekuwa nikiliangalia sana kwenye mahusiano ya siku hizi. Dunia imebadilika, na hata namna ya kuanzisha mahusiano imebadilika. Zamani kulikuwa na kitu kinaitwa kutongoza. Mwanaume...
23 Reactions
172 Replies
3K Views
Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi...
27 Reactions
89 Replies
7K Views
KAMA FAMILIA YENU MNAISHI KWA UPENDO, MSHUKURUNI SANA MUNGU. Miaka ya nyuma pindi tunakuwa kwa kiasi kikubwa familia nyingi zilikuwa na upendo, maelewano, na kutembeleana mara kwa mara. Lakini...
13 Reactions
21 Replies
375 Views
Ushawahi kupigwa huo mkwara? ilikuwaje kuwaje na je ulipewa au ulitoa tamu? au ulitoka kapa? Acha nianze: Kitambo hicho chuo tulikua kipindi cha mitihani, kaboyfriend kakaniomba niende room kwake...
32 Reactions
412 Replies
7K Views
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa...
71 Reactions
324 Replies
42K Views
Usiumizwe sana na marafiki wa ukubwani Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani Wachache sana huwa wakweli na wasio na agenda kificho Marafiki wa kukutana high school Marafiki wa kukutana vyuoni...
71 Reactions
179 Replies
12K Views
•Mimi Kuna siku tumbo liliunguruma akasema nifundishe na Mimi •Siku nyingine akaniambia eti nikimuacha atakunywa maji ya mvua afe •Juzi hapa akaniambia anatoka mara moja kumbe kaenda dubai
2 Reactions
8 Replies
184 Views
Back
Top Bottom