Umuofia kwenu wadau...........aisee leo imenilazimu niandike huu uzi maana kuendelea kuficha maradhi aibuuu itaniumbua. Mimi ni kijana miaka 30+ kama nilivyoeleza hapo juu.
Kila nikikutana na...
Hamjambo!
1. Aiseeh! Haya! Kuna watu vichwa vya gunzi. Wagumu Sana kunielewa.
2. Kazi Yangu ni kuwapa Doctrines za kubadilisha akili zenu hizo. Najua kuna watu vichwa ngumu. Ngumu Sana lakini...
Kumekuwa na madai kuwa wanawake wa mikoa kama Manyara, Singida na wengine wanasema Bukoba Nk ni Malaya hawafai kuolewa.
Sasa swali langu ni wanawake wa mikoa gani au kabila gani sio Malaya mimi...
Shikamoon wakubwa zangu.
Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.
Pochi yenyewe ina Thamani ya...
Jamaa mmoja aliingia saluni akakuta Pana watu kama watano na kinyozi wa sita.
Akauliza kama kuna foleni kubwa akajibiwa kwamba wanao nyoa ni watatu tu yaani aliyekuwa ananyoa kwa muda ule na...
Habari, Nina umri wa miaka 25 natafuta mwanamke asiezidi miaka 26 awe mke wangu awe tayari kunizalia tuanzishe familia. NB: ASIWE BONGE awe mwembamba lakin sio sana
Hapo ukiforce bila ridhaa yake ni kosa la jinai ila huyu mtu tumekubaliana kabisa Kuwa akija tunamalizana ghafla kabadilisha maamuzi.
Huu si unyanyasaji wa hisia mi nishakula vinavyohitajika...
Wapo wanaosema kwamba mpenzi anapaswa kujua password ya simu ya mwenzake kwa sababu mahusiano yanajengwa juu ya uwazi na uaminifu. Kwa mtazamo wao, mtu asiye na jambo la kuficha hana sababu ya...
CHUKUA HII
Kupenda hua inatokea tu msichana umempenda sana au mvulana
Ila nawapa kavu acha ujinga jinga wa kung,ang,ania.. sehemu usipopendwa ng,ang,ania sehemu ambayo
Unapenda na...
Kuna mwanamke unaweza kukutana nae MAISHANI akawa kama Baraka kwako, Yaani Milango ya Fursa inafunguka Hadi unajiuliza hii ni nini,
BINAFSI nakumbuka nimewahi kudate na Mwanamke ambaye Hadi...
Nilipata likizo fupi nikasema hebu niende Vientiane na wenzangu kula maisha Kidogo,
Kwa wasioijua Vientiane ni mji mkuu wa kinchi kimoja kiko Asia kinaitwa Loas, kuna totoz balaa nilienda Mpaka...
Vitaa
Labda uwe na pesa na umpate mwaminifu the sometimes uwe mmekubaliana , uwe unaweza kumridhisha mwenzako , mridhishane wote, mvumiliane, sijui kama yote haya yanawezekana
Ila ndoa ni tamu...
Mwanasaikolojia Charles Nduku akihojiwa kupitia Clouds Media, amesema kwa mazingira ya sasa usimruhusu mtoto wako kulala na mtu yeyote.
Anaeleza...
"Unajua jaribu kutafuta historia... tuchukue...
Njoo ubishe
Kwa mwanaume akisha balehe tu utamu unaanza hapo
Ila Kwa mwanamke anaanza kuhisi raha halisi ya sex pale anapofikisha miaka 28, ndio maana ukimpata mwanamke mwenye miaka hiyo na...
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria.
(me na ke).
Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa?
2 au kua na mwanamke mmoja?
3 au kua handsam?
nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w
WANAWAKE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.