Wakuu kwema huko wale town na wale wa bush mko sawa wapambanaji...wahaini, magaidi wa serikali mpo pia...🤔
Wakuu ndugu yangu alifariki baada ya maziko ukoo ulikaa kikao cha kujadili mali za...
Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me.
One of my ex is a single mother. She has one lovely boy...
Kwa muda mrefu nimeshuhudia na kujionea (personally) wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri.
Hawaandai chakula vizuri,wanapika kwa kujivuta mfano,chai saa 5,lunch saa 9,dinner saa 3...
Wadau habari zenu, Kuna baadhi ya wanawake ambao hudhani kuwa wao ni wazuri sana sababu TU wanatongozwa sana?
Inawezekana:-
Wewe ni mrahisi sana. yaani maharage ya Mbeya
Jinsi unavyojiweka ...
Yaani siku hizi wanamke akipita mbele ya wanaume bila wimbo, "singida Dodoma" kusindikiza hatua zake, basi mambo kadhaa lazima yatokee.
1. Atakumbilia uturumia (kama ana pesa).
2. Atapatwa na...
Wananchiiiiiiiii.........
Hivi mnajua kwa asilimia kubwa za wanawake wanaojishughulisha na michezo ya fedha na upatu wanakuwa
●Hawapendi tendo la ndoa
●Wanakuwa na upuuzaji wa wenzi wao
●Wanakuwa...
Binafsi, siwezi
Sababu ni moja tu.
Yaani baba wa kambo unalea mtoto , kuna wakati unaonekana mkatili na mwenye makosa pale kunakotokea kutokuelewana.
Lakini yule aliemkimbia akamuachia mzigo...
Wakuu habari za wakati huu
Its weekend, wengine najua bado tupo tunapambana baadhi yetu pia ni siku ya kupumzika pengine kutoka either wenyewe ama na wapenzi wao kufurahisha nafsi.
Nianze kusema...
Wakuu
Nina rafiki yangu ambaye baada ya kuoa, miaka takribani sita baadaye alibahatika kupata watoto wawili, ambapo yeye na mkewe walipewa uhuru wa kuchagua eneo katika kiwanja cha wakwe upande...
Msione tunawasapoti kwenye mada zenu za kuacha kuwahudumia wanawake mkaona tupo pamoja na nyie .
Ukitumia akili ukitafuta pesa vizuri na ukampenda mwanamke mzuri wa ndoto zako utampa...
Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka...
Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri.. Hii inajimuisha tunaosimamisha lege lege, kama utumbo, tunao mwaga ndani ya dk moja , tusio weza kurudia kabao kapili na hata tunao...
BINTI/ MWANAMKE ALIETAYALI KUWA NA FAMILY.
SIFA ZA BINTI/ MWANAMKE
Mchamungu, Dini yoyote.
Makazi Popote.
Miaka 25-50.
Heshima, Nidhamu, usikivu, Utiifu, Unyenyekevu,
Awe Mpambanaji/...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.