Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Umuofia kwenu wadau...........aisee leo imenilazimu niandike huu uzi maana kuendelea kuficha maradhi aibuuu itaniumbua. Mimi ni kijana miaka 30+ kama nilivyoeleza hapo juu. Kila nikikutana na...
5 Reactions
62 Replies
2K Views
Hamjambo! 1. Aiseeh! Haya! Kuna watu vichwa vya gunzi. Wagumu Sana kunielewa. 2. Kazi Yangu ni kuwapa Doctrines za kubadilisha akili zenu hizo. Najua kuna watu vichwa ngumu. Ngumu Sana lakini...
4 Reactions
5 Replies
221 Views
Kumekuwa na madai kuwa wanawake wa mikoa kama Manyara, Singida na wengine wanasema Bukoba Nk ni Malaya hawafai kuolewa. Sasa swali langu ni wanawake wa mikoa gani au kabila gani sio Malaya mimi...
10 Reactions
47 Replies
759 Views
Kwenye mikao ya kushusha dozi unapendelea mkao upi. mimi napendelea shoot again and back style.
1 Reactions
7 Replies
131 Views
Navimba saivI kishezI sana natembea sai na pisi mbovu mrad tu nipunguze mzigo. ila Nikimiliki mapene lazima nitamiliki pisi ya kuheshimika.ee Mungu...
6 Reactions
13 Replies
148 Views
Wakuu Hii hali imeanza ina kama week mbili hivi. Nifanyaje?
8 Reactions
80 Replies
1K Views
Shikamoon wakubwa zangu. Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana. Pochi yenyewe ina Thamani ya...
17 Reactions
97 Replies
1K Views
Ebu naombeni tafsiri ya wazi ya kusema "mwanamke flani ni mrembo" Neno urembo hasa tunazingatia nini?
2 Reactions
9 Replies
93 Views
Jamaa mmoja aliingia saluni akakuta Pana watu kama watano na kinyozi wa sita. Akauliza kama kuna foleni kubwa akajibiwa kwamba wanao nyoa ni watatu tu yaani aliyekuwa ananyoa kwa muda ule na...
2 Reactions
3 Replies
174 Views
Habari, Nina umri wa miaka 25 natafuta mwanamke asiezidi miaka 26 awe mke wangu awe tayari kunizalia tuanzishe familia. NB: ASIWE BONGE awe mwembamba lakin sio sana
3 Reactions
18 Replies
196 Views
Hapo ukiforce bila ridhaa yake ni kosa la jinai ila huyu mtu tumekubaliana kabisa Kuwa akija tunamalizana ghafla kabadilisha maamuzi. Huu si unyanyasaji wa hisia mi nishakula vinavyohitajika...
9 Reactions
36 Replies
277 Views
Wapo wanaosema kwamba mpenzi anapaswa kujua password ya simu ya mwenzake kwa sababu mahusiano yanajengwa juu ya uwazi na uaminifu. Kwa mtazamo wao, mtu asiye na jambo la kuficha hana sababu ya...
2 Reactions
8 Replies
87 Views
CHUKUA HII Kupenda hua inatokea tu msichana umempenda sana au mvulana Ila nawapa kavu acha ujinga jinga wa kung,ang,ania.. sehemu usipopendwa ng,ang,ania sehemu ambayo Unapenda na...
4 Reactions
26 Replies
171 Views
Kuna mwanamke unaweza kukutana nae MAISHANI akawa kama Baraka kwako, Yaani Milango ya Fursa inafunguka Hadi unajiuliza hii ni nini, BINAFSI nakumbuka nimewahi kudate na Mwanamke ambaye Hadi...
4 Reactions
14 Replies
501 Views
Nilipata likizo fupi nikasema hebu niende Vientiane na wenzangu kula maisha Kidogo, Kwa wasioijua Vientiane ni mji mkuu wa kinchi kimoja kiko Asia kinaitwa Loas, kuna totoz balaa nilienda Mpaka...
39 Reactions
174 Replies
5K Views
Vitaa Labda uwe na pesa na umpate mwaminifu the sometimes uwe mmekubaliana , uwe unaweza kumridhisha mwenzako , mridhishane wote, mvumiliane, sijui kama yote haya yanawezekana Ila ndoa ni tamu...
1 Reactions
1 Replies
69 Views
Mwanasaikolojia Charles Nduku akihojiwa kupitia Clouds Media, amesema kwa mazingira ya sasa usimruhusu mtoto wako kulala na mtu yeyote. Anaeleza... "Unajua jaribu kutafuta historia... tuchukue...
0 Reactions
4 Replies
78 Views
Njoo ubishe Kwa mwanaume akisha balehe tu utamu unaanza hapo Ila Kwa mwanamke anaanza kuhisi raha halisi ya sex pale anapofikisha miaka 28, ndio maana ukimpata mwanamke mwenye miaka hiyo na...
3 Reactions
27 Replies
279 Views
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria. (me na ke). Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
17 Reactions
422 Replies
4K Views
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa? 2 au kua na mwanamke mmoja? 3 au kua handsam? nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w WANAWAKE...
7 Reactions
48 Replies
480 Views
Back
Top Bottom