she is my friend, alikuwa na mahusiano na mwanaume wakaachana, sasa hivi hajabahatika , wale wanaomtongoza sasa hvi weng ni waume za watu so inakuwa ngumu kuwa nao, sifa zake ni msichana black...
Ni kawaida sana mwanaume anapoku tayari kuwa na mwenza kutangaza nia! Dada mwenye sifa zifuatazo atapokelewa kwa moyo mkunjufu; black beuty au rangi ya chocolate, age 20-22, mwenye maadili ya...
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2maisha ya kueleweka
3 awe mkristo na awe na hofu ya MUNGU
4awe mrefu kiasi na mweusi
5 awe na afya...
Sasa kuna hili ambalo nilijadili na watu wakati fulani mpaka kukaleta mabishano ya hapa na pale. Unajua tulichokuwa tunabishania ni kuhusu muda wa kuanza kutumia 'Status ya UCHUMBA'. Kulikuwa na...
Mambo vip
najitokeza kwenye page hii kwa mara ya kwanza .Mimi ni mwanaume wa kitanzania nina umri wa miaka 24 natafuta mchumba
Sifa zifuatazo
Umri :miaka 18-23
Mwenye hofu ya mungu...
Shukrani za dhati ziwe juu wn jf.wengi wenu mmepata mshtuko wa jina la hayati.hili ni jina lenye asili ya kiarabu lenye maana ya uhai yaani al-hayy kwa maana ya uhai.lkni wakati mwengine hutumika...
Hi wanajf.Hayati wa dar natafuta marafiki wa kuchat ilikubadilishana mawazo.pia natafuta mchumba ambaye atakuwa na tabia njema.mobile 0712143355.ahsante
hi guyz im troubled with loving a chic we r in the same class.we are both in 3rd year in university pursuing same course.she had a bf bt they later broke up then we hooked up bt the ex has...
Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu...
Wapendwa wana JF,
Poleni kwa majukumu ya kila siku.
Mimi ni kijana wa miaka 32, natafuta mchumba ili tuweze kufunga ndoa endapo tutakubaliana mimi na yeye. Nipo very serious na hili jambo.
SIFA...
Natafuta mchumba (a lady ) VIGEZO.a christian (mshka din kwel kwel),umri 20-24 ,elimu kidato cha tano hadi chuoni,urefu 160cm and above,mpole as i am,pombe hanywi sigara havuti,club hajawahi...
Kama ni kwenye Facebook, Myspace, Bebo au Hi5, unapotafuta mchumba au mpenzi kwenye internet basi kitu cha kwanza kabisa omba picha ili usije ukakumbana na kitu usichokitegemea.
Katika miaka hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.