Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kwa dhati kabisa natangaza nia ya kutafuta mchumba kati ya miaka 18 ma 21 Awe mpole,Mzuri,Mtaratibu,asiwe mtata mtata kama members wa JF,Ajiamini,awe na mipango na mikakati yake ya kimaisha kwa...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Ninatafuta mchumba mkristo age 40-42 awe anafanya kazi kama mimi na mcha mungu pia.
0 Reactions
70 Replies
10K Views
Ninamda kiasi, japo nilikuta wenyeji katika hiki kijiji ila na mimi ninashamba lenye minazi kama15 Kwa maana mimi nimwenyeji wa kijiji cha JF Nakuomba Mwenyeji niliyekukuta Mhe,THE FINEST Mbunge...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman nimeingia kwenye hii category je mnanipokea??
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NINAHITAJI MCHUMBA WA KIKE SICHAGUI DINI WALA KABILA,AWEMREFU WA WASTANI AWE ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA,MCHAMOLA MWENYEMAPENZI YA DHATI,AWE ANAAJIRA AU AMEJIARIRI,AWE ANAJITUMA NA MUADILIFU,MSAFI...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
kwa moyo wa dhati kabisa natafuta binti wa kuoa age 22-25
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaman mlio kwisha tafta wachumba hapa naombeni data. Hv hao wachumba wanapatikana kweli au ndo changa la macho? Ntashukuru kma ntapata mifano hai.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Dear East African Smart and Beautiful Girls, I am a man looking for a serious and commited girl for a serious relationship that will eventually grow to fiancee and later a wife - that is the...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Nawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai. Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili. Nina umri wa miaka 28 na nina...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
WAPENDWA AKINA DADA WA JF, Najitokeza mbele ya jukwaa hili kuu kuelezeaaa nia yangu ya dhati ya kutafuta mchumba ambaye baada ya kuwasiliana naye na kukubaliana vema basi tufunge ndoa na...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
Wakuu msaada kwy subject hapo juu! Natafuta mchumba wa kike,mwenye mvuto,mpole,intelligent but not on capitalization side,down to earth,young and elegant,mkristu pia awe amefunga kwaresma kama...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo 1. awe muislamu 2. awe mchamuungu 3. awe anapenda watu wangu 4. asiwe mpenda makuu 5. awe msikivu nipatikana kwa anuani hii kwa maelezo ya ziada...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimetoka Jukwaa la Siasa huko, yaani linafuka moshi kuhusu vuguvugu la kuvunja Muungano, baada ya kutafakuri kwa kina nikaona bora mie nichukue hatua za kuuimarisha huu Muungano badala ya kuuvunja...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Yeye anajiita "Non-Celebrity" akiwa na maana kuwa yeye sio mtu maarufu. Ameniomba nimuwekee hadharani nia yake ya kutafuta mchumba katika jamvi la WanaJF. Kwa kifupi amesema yeye anafanya kazi...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
Ndugu zanguni mimi ni kijana wa kibongo miaka 30, mbantu halisi na mkrisitu. Natafuta mchumba. Sifa: awe mwarabu au Mhindi na pia awe mcha Mungu mkristu. Umri kati ya 20-25. Maisha ni majaliwa...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Naitwa Jef umri miaka 31( jinsia:mwanaume)natafuta mchumba umri miaka 23-31,sibagui dini,kabila,rangi,umbo wala elimu.mawasiliano:0713680829,Juma_Jafari@yahoo.com
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu mimi naitwa marwan niko kenya mombasa natafuta mchumba mzuri mwenye mpenzi la kweli awe na umri wa miaka 20 mpaka 23 yeyote mwenye yuko tayari anipigie +254702579780 ama emil...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
WanaJF wenzangu Salamu, Kumekuwepo na threads kadhaa za kutafuta wenza (wachumba, Marafiki, wake na waume) nafurahi wanaJf wamekuwa wakichangia kwa hali yoyote ile ili kuwafanikishia lengo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari za saa hizi Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Jamani wanaJF, a) Wanaopenda kukandia karibuni b) wenye nia njema karibuni saaaana! Lengo Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa: i. Mlokole wa kweli ii. Kati ya 21...
0 Reactions
135 Replies
14K Views
Back
Top Bottom