Hi to all,
kwa mara ya kwanza najitokeza.
Yaah mim ni kijana wa kiume natafuta mwanamke awe anaumbo la unene wa wakawaida, urefu wa kawaida, dini yeyote. Umri uwe kati ya miaka 18-23...
Mimi ni Mwanaume,naishi Dar ,ni Mtanzania halisi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 19-24.Umri wangu ni miaka 34.Sibagui dini wala kabila,mimi ni Muislamu,ninafanya kazi kama mhandisi.kwa...
Nimekaa mpweke kwa muda sasa lakini natafuta mchumba(msichana) mwenye vigezo vifuatavyo:
Umri: 18-21
Shule: Awe amesoma/anapenda kusoma/ anapenda kujiendeleza
Dini: Yoyote ilimradi tutaishi kwa...
Mie ni kijana wa kinyamwezi tena dume la mbegu, dozi yangu kutwa mara 3...nina umri wa miongo mitatu na robo, sina elimu ya kutosha kupambana na ugumu wa maisha. Nina vipaji vya ufundi wa vifaa...
Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe...
Inanipa wakati mgumu kumchagua ni yupi niwe naye ktk maisha yangu kama BABA na MAMA. Kinachonipa ugumu ni maisha niliyo yaexpirience hapa Chuoni ambapo kwa Asilimia mia moja ya wanawake, asilimia...
Sifa za mchumba:
1,Awe na Elimu ya kuanzia Chuo na kuendelea
2,Awe maji ya kunde(kwa rangi)
3, Awe mrefu kuanzia ft 4-5
4,Kabira lolote
5,Awe tayari kunipenda jinsi nilivyo
6.Dini (Muumini wa...
Kwa dhati kabisa natangaza nia ya kutafuta mchumba kati ya miaka 18 ma 21
Awe mpole,Mzuri,Mtaratibu,asiwe mtata mtata kama members wa JF,Ajiamini,awe na mipango na mikakati yake ya kimaisha kwa...
Ninamda kiasi, japo nilikuta wenyeji katika hiki kijiji ila na mimi ninashamba lenye minazi kama15 Kwa maana mimi nimwenyeji wa kijiji cha JF Nakuomba Mwenyeji niliyekukuta Mhe,THE FINEST Mbunge...
NINAHITAJI MCHUMBA WA KIKE SICHAGUI DINI WALA KABILA,AWEMREFU WA WASTANI AWE ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA,MCHAMOLA MWENYEMAPENZI YA DHATI,AWE ANAAJIRA AU AMEJIARIRI,AWE ANAJITUMA NA MUADILIFU,MSAFI...
Dear East African Smart and Beautiful Girls,
I am a man looking for a serious and commited girl for a serious relationship that will eventually grow to fiancee and later a wife - that is the...
Nawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai.
Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili.
Nina umri wa miaka 28 na nina...
WAPENDWA AKINA DADA WA JF,
Najitokeza mbele ya jukwaa hili kuu kuelezeaaa nia yangu ya dhati ya kutafuta mchumba ambaye baada ya kuwasiliana naye na kukubaliana vema basi tufunge ndoa na...
Wakuu msaada kwy subject hapo juu!
Natafuta mchumba wa kike,mwenye mvuto,mpole,intelligent but not on capitalization side,down to earth,young and elegant,mkristu pia awe amefunga kwaresma kama...
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo
1. awe muislamu
2. awe mchamuungu
3. awe anapenda watu wangu
4. asiwe mpenda makuu
5. awe msikivu
nipatikana kwa anuani hii kwa maelezo ya ziada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.