taja na wewe sifa zako.Natafuta mchumba mwenye zifa zifuatazo....Awe na Elimu kuanzia 4m four,awe na kazi ya kuweza kutulisha wote wawili na watoto hapo baadae,awe ni mwanamke hiyo tisa kumi awe mwaminifu na mvumilivu,umri awe chini ya miaka 24.
Sifa mpya hii!HONGERA SANA!mara nyingi napendwa na wanawake warefu na weupe kidogo (aka maji ya kunde)...Bado sijaeleweka?
Kumbe tayari ushapendwa!! Sasa unatafuta tena mchumba wa kazi gani? Hao ambao wanakupenda hawafai?Ok..mm ninaelimu zaidi ya 4m...mpole kidogo kama sijachokozwa...mara nyingi napendwa na wanawake warefu na weupe kidogo (aka maji ya kunde)...Bado sijaeleweka?
Maelezo ya wasifu wako yanawalakini kijana,mara nyingi UNAPENDWA na wanawake warefu na weupe kidogo? Kwahiyo kt ya hao hujampata mchumba?Kuwa muamini wa aliyejuu kwani yeye ndiye wakukupa mchumba!!Ok..mm ninaelimu zaidi ya 4m...mpole kidogo kama sijachokozwa...mara nyingi napendwa na wanawake warefu na weupe kidogo (aka maji ya kunde)...Bado sijaeleweka?
Unaniuliza mimi kwani mimi ndo napima maumivu?!Asante ila bado naumia....?
Basi hata kwa jirani....natakaka alishe watoto mm nitajenga na kuwasomesha maana uwezo huo ninao maisha ni kusaidiana si wao wenyewe wanataka haki sawa sasa iweje majukum,u yote yawe kwangu...? na kama hawezi hayo mashart bac,ok mm elimu yangu ni chuo..chuo gani atafahamu baadae atakae kua mhusikaHumu sio rahisi kumpata kila mshikaji ana mwenyewe, na unataka wakukulisha ww na watoto sasa mume wewe au yeye? na wewe elimu yako umeishia wapi?