Natafuta jamaniii....natafuta mwenzenu

D'angelo

Member
May 11, 2011
10
0
Natafuta mrembooooo kuanzia miaka 24-26 awe mzuri wa sura na roho......awe ana kazi yake na awe tayari kupima hii ni serious
 
Ukishindwa hapa jaribu hata kwenda ''google'',
naskia kule hakuna kinachokosekana
 
Miaka yote umesoma,unafanyakazi unaenda kwenye warsha na mikutano,kanisani n.k ujapata kweli.Naona wewe haupo makini kama umeshindwa kuwapata uko hapa pia itakuwa ngumu ndugu yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom