mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 26(nipo chuo),sijawahi kufanya ngono tangu kubalehe sasa nahitaji ila nashindwa kumpata mtu sahihi wasichana wawili niliwapenda kwa wakati tofauti wakanikataa,kwa sasa siwezi vumilia tena naomba ushauri na msaada wenu