A man was exploring caves by the seashore. In one of the caves he found a canvas bag with a bunch of hardened clay balls. It was like someone had rolled clay balls and left them out in the sun to...
Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 30,natafuta mwenza kupitia jukwaa hili.Sifa nizitakazo kwa huyo mwenzi awe na muonekano mzuri tu na awe nakipato walau chakujikimu yeye mwenyewe kama una mtoto...
Ningependa ni mwanamke mwenye sifa sifuatazo:
1. Awe Mrefu au mwenye kimo cha wastani (sio mfupi), rangi yeyote ile....(mweusi,mweupe,maji ya kunde...poa tu).
2. Awe na Elimu kuanzia kidato cha...
Anakaribishwa mwanadada mtu mzima kuanazia miaka 30 kwenda juu, kwa mahusiaono kimapenzi. Umri wangu ni miaka 41.sina masharti zaidi. Atakayekuwa radhi tafadhari niandikie private msg.
Jamani mimi nimekua vya kutosha,nina miaka 30,
natuta binti wa kua aliekulia katika maadili yalo mema.
sifa sasa.
1.asiwe baunsa
2.mfupi sana na mnene sana sipendi.
3.shule si muhimu sana ila...
Hi,naitwa Sean nipo Dar,napenda kuogelea,kuimba,beach na kusafiri,I am Fun,Charming,easy to get along with&gentle. Nina miaka 27,elimu ya chuo(IFM). Asanteni.
Mimi ni kijana miaka 27 mwajiriwa ktk idara 1 serikalini, vilevile nko mwaka wa mwisho ktk moja ya chuo kikuu hapa mjini. Natafuta rafiki wa kike ambaye atakuja kuwa mwenza wa maisha hapo baadae...
Mimi Mwanamume mwenye miaka 40, nimeachwa na Mke wangu kwa sababu nimekata kuokoka kwa Mwingira. Natafuta mwanamuke mwenye sifa zifuatazo:
Awe na Umri kati ya miaka 30 na 35.
Awe tayari kuzaa...
nafafuta mchumba wa kike mwenye sifa zifuatazo
1.awe na hofu ya mungu mean ana sali
2.mkristo
3.awe na elimu kuanzia diploma na kuendelea(understanding)
4.good looking chocolate colour au mweupe...
Mambo Vipi Wadau! It's Ma Hope That Tutashirikishana Mengi. Natafuta Msichana Mkatoliki Anayependa Kuimba Kwaya, Umri 18-25. Umri Wangu Ni 26, To Be Ma Lovely Wife After Few Months Later...
Hi all! natafuta marafiki wa kike na kiume kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kushauriana different matters e.g ujasiriamali, masomo, namna ya kukabiliana na matatizo mbalimbali na maisha kwa...
Hi wadada wa JF,full kufunguka mtoto wa kiume hapa umri 30 yrs, kwa mdada anaependa kuinjoi nami na kupotezea mastress, Plz ni PM.Kama sio mdada don't comment.
29 yrs male..living in Dar es salaam..lonely, a woman to be my better half.. any kind , not soo tall..soo thin..any religion..any skin colour..Working..educated..not below A...
Kwa wale girls waliobaki hostel mabibo only, natafuta company ya kupiga stori during evening hours, dinner pamoja na kubadilishana mawazo. I'm a male btn 25-35yrs of age and I ain't a student
jamani natafuta mwanamke wakunipa mapenzi stress free...yaani sie nikupeana company bila kuudhiana na kuja hapa MMU kuja kuomba ushauri wa mahusiano yetu.
awe mweupe
mrefu sio chini ya 170cm...
Mimi ni mvulana wa miaka 24, natafuta girlfriend:
Awe na miaka kati 18 - 19.
Awe mkristu, mwenye nidhamu na heshima.
Awe na mapenzi ya kweli.
Awe mweupe au maji ya kunde.
Awe mrefu.
Asiwe mbeya...
Natafuta rafiki wa kike wakubadilishana mawazo, huku nikusubiri ajira baada ya kuhitimu masomo yangu. Awe na UPENDO NA UKARIM WA KWELI. Tuwasiliane kupitia malimangosha@yahoo.Co.Uk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.