Mimi ni kijana ,nipo chuo kimoja hapa nchini natafuta mwanamke awe muislam,mwenye umri chini ya miaka 25,awe mfanyakazi wa serikali au awe mwanafunzi wa mwaka wa tatu ktk degree ya uwalimu, mrefu...
jamani me nna miaka 24, natafuta mwanamke wa kuwa mpenzi wangu mwenye miaka kuanzia 35 mpaka 50, sifa yoyote ile, me nna mapenzi ya kweli, aliye tayari ani PM.
Matusi sitaki.
Nawasilisha.
habari wan JF kwa jinsi weekend ilivyo naona kama kuwa ndefu sana kutokana na sikukuu sasa kwa yeyote aje tujumuike kwenye wekeend kuspend it is just for the fun cozi niko mpweke this weekend...
Natumaini hamjambo wapendwa wanajamvi..mie ni kijana wa early 30s niko Arusha, mwajiriwa wa kipato cha kati, mkristu.
Natafuta mwandani wa ubani mwenye kujitambua, ideally please be:
1. 20-29...
Habari zenu wanajf.
Mimi ni Kijana ninayeishi Arusha. Nimezaliwa kwenye familia ya Kiislam yenye msimamo wa Kawaida. Umri wangu ni miaka 39 na sijawahi kuoa japo sasa natamani sana kupata mwenza...
Kama wewe ni binti, nakualika tuongee kupitia Skype, Google talk, mie ni mwanaume, nipm kwa ajili ya kubadilishana usernames. Mazungumzo yote na uwezekano wa kuanzisha uhusiano wa aina yoyote au...
Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM.
Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam, mpole na mwenye kujiheshimu...
haipiti siku humu ndani lazima aje mtu
kutafuta mchumba humu ndani.....all in all
ni jambo zuri kama huyo mtu yuko serious....
sasa kinachonishangaza ni kuwa huwa hatusikiiii
chochote kile...
Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms...
Am Johnson, nina miaka 32, elimu ya chuo kikuu,ni mwajiriwa.
Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Elimu; kuanzia kidato cha nne
2. Mwonekano; asiwe mwembamba sana, mfupi sana, wala mrefu...
Mm ni mscana wa miaka 25.graduate,mrefu,shape ya kiafrika,nabia nzuri.natafuta mchumba kuanzia miako 29 -40.awe mchristo,mrefu,.mwenye mapenzi ya kweli.mengine tutaongea
natafuta rafiki (strictly platonic) wa kwenda nae gym na kupiga stori za kawaida wakati wa jioni. vigezo
awe na usafiri binafsi
awe wa eneo lolote dar es salaam
ajilipie membership mwenyewe
tuma...
Jamani salama!
Nilikua na mpenzi niliempata facebook lakini yuko nje ya TZ, nikapata mwengin wa twittr ambye alikua celebrity toka Niger xo 2kashndwana.
Nimeona nitafute kutoka hapa jf labda...
Natafuta msichana wa kumuoa umri kuanzia miaka 20-22 elimu form 4 awe anaupenda na anaufahamu mkoa wa kilimanjaro when you want to marry me please tuwasiliane email amedeusmushi88@gmail.com
if you can only open your eyes you will find a good man or woman is sitting all along infront of you waiting for you to say a word. Mke au Mume mwema atoka kwa Mungu if you just blive and have...
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni mtumishi wa serikali ninaelimu ya chuo kikuu ninatafuta mchumba wa kike awe na umri kati ya miaka 20 had 27 awe mcha mungu awe na elimu ya kdt cha 4 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.