Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Ningependa ni mwanamke mwenye sifa sifuatazo:
1. Awe Mrefu au mwenye kimo cha wastani (sio mfupi), rangi yeyote ile....(mweusi,mweupe,maji ya kunde...poa tu).
2. Awe na Elimu kuanzia kidato cha 4/ Form iv na kama atakuwa na Elimu zaidi ya juu zaidi......HADI CHUO KIKUU ITAKUA VIZURI ZAIDI.
3. Awe na kazi, mfanyabiashara au mjasiriamali.....poa tu haina shida.
4. Kama hana shughuli ya kufanya basi awe na idea ya biashara au kazi yeyote ile ili tushirikiane ktk kufanikisha hilo.
5. Awe na Dini yeyote ile lakini mimi ni Mkristo wa Romani na sipo tayari kubadili dini yangu, wala yeye asibadili kama hapendi.
6. Asiwe Mwembamba sana....akiwa na umbo la kati au mnene.....will be so great to me.
7. Awe kabila lolote .....hapa Tanzania.
NB: AWE TAYARI KWENDA KUCHECK AFYA ZETU BEFORE MARRIGE.....IF OUR CHEMISTRY MATCH WELL!
SIFA ZANGU
1. Mrefu wa wastani (170 cm).
2. Elimu.....chuo kikuu, na pia ni mwajiriwa
3. Dini....mkatoliki.....roman
4. Rangi...maji ya kunde
5. Siomnywaji wa bia kivileee...but mara chache huwa nakunywa.!
6. Napenda sana mapumziko ya weekend ....outing hasa sehemu tulivu
7. Mpenzi wa Football...mpira wa Ulaya, watching Tv....CNN, BBC, Aljazeera, Citzen
......Mengine tutawasilaina zaidi.
Akina Dadas' You're Warmly WeLcome.......ALL!
NB: Kwa atakayekuwa interested with it Please NITUMIE.....PM! tutawasiliana zaidi..!
1. Awe Mrefu au mwenye kimo cha wastani (sio mfupi), rangi yeyote ile....(mweusi,mweupe,maji ya kunde...poa tu).
2. Awe na Elimu kuanzia kidato cha 4/ Form iv na kama atakuwa na Elimu zaidi ya juu zaidi......HADI CHUO KIKUU ITAKUA VIZURI ZAIDI.
3. Awe na kazi, mfanyabiashara au mjasiriamali.....poa tu haina shida.
4. Kama hana shughuli ya kufanya basi awe na idea ya biashara au kazi yeyote ile ili tushirikiane ktk kufanikisha hilo.
5. Awe na Dini yeyote ile lakini mimi ni Mkristo wa Romani na sipo tayari kubadili dini yangu, wala yeye asibadili kama hapendi.
6. Asiwe Mwembamba sana....akiwa na umbo la kati au mnene.....will be so great to me.
7. Awe kabila lolote .....hapa Tanzania.
NB: AWE TAYARI KWENDA KUCHECK AFYA ZETU BEFORE MARRIGE.....IF OUR CHEMISTRY MATCH WELL!
SIFA ZANGU
1. Mrefu wa wastani (170 cm).
2. Elimu.....chuo kikuu, na pia ni mwajiriwa
3. Dini....mkatoliki.....roman
4. Rangi...maji ya kunde
5. Siomnywaji wa bia kivileee...but mara chache huwa nakunywa.!
6. Napenda sana mapumziko ya weekend ....outing hasa sehemu tulivu
7. Mpenzi wa Football...mpira wa Ulaya, watching Tv....CNN, BBC, Aljazeera, Citzen
......Mengine tutawasilaina zaidi.
Akina Dadas' You're Warmly WeLcome.......ALL!
NB: Kwa atakayekuwa interested with it Please NITUMIE.....PM! tutawasiliana zaidi..!