nani wa kuwanae kimaisha jamani

Bi nyakomba

JF-Expert Member
Mar 23, 2012
385
104
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.
 
bi nyakomba, Mungu akutangulie katika hitaji lako, kuna wakaka humu walioenda age. Utapata wako kwa uweza wa Mungu.
 
No doubt utapata tu.., hata wale wanaokatisha tamaa wewe wapuuzie na concentrate na wale walio serious, all I have seen above is positive, cha maana ni kupata mtu hapa mka-brake the ice, na mkiendana in real world the sky the limit..,

You never know you can find precious things in unexpected places
 
No doubt utapata tu.., hata wale wanaokatisha tamaa wewe wapuuzie na concentrate na wale walio serious, all I have seen above is positive, cha maana ni kupata mtu hapa mka-brake the ice, na mkiendana in real world the sky the limit..,

You never know you can find precious things in unexpected places

Thanx for ur advc
 
Jamaa akiwa anakuja kumcheki mtoto nitakua nawapisha au utakuwa unaenda kwake kumpeleka mtoto?
 
bibie cv yako bdo hujamalizia na mbna hujasema cv ya umtakaye?
 
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.

Sifa zake:


  1. Awe na Umri usiopita miaka 40
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana

Sifa zangu:


  1. Umri wangu miaka kati ya 45-50
  2. Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
  3. Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
  4. Sina mke
  5. Nina watoto wawili

Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com

PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
 
Mtu makini mwenye akili timamu na fikra pevu hawezi kuleta utani katika kitu cha maana, jamani kwa ambaye hayoku tayari kuliko kuanza kuandika utani na kwenda nje ya mada mngenyamaza,mwenzenu anashida hivyo anataka aliyeko tayari wawasiliane.
Kama huna vigezo mpotezee
 
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.

ni pm 2wasiliane kwa kina. kwani nahitaji sana m2 kama wewe
 
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.

dah ninao wawili
 
Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

Dah! Kweli kupata mchumba ni shughuli nzito.. Kaka nilidhani utakuwa umeshampata maana kitambo sana.. Wish nijitose ila mie kwa umri ulioweka mie ni KITOTO..
 
Back
Top Bottom