Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

albertt

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
339
Reaction score
78
Habiri wakuu,

Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka isiyozidi 25 lakini haipo chini ya 21. Natafuta rafiki wa kike mwenye Umri usiopungua miaka 20 but usizidi miaka 35. Awe anapenda kusocialize, asiwe anakariri kila kitu, awe pia anajua kubadilika kutokana na mazingira (coz hata mie nahisi nina sifa hizo)


Mwenye sifa hizo please unakaribishwa au hata kama unamfahamu mtu mwenye sifa hizo mwambie namtafuta kwa kweli.

Note:
Maisha ya upweke yamenishinda mie, natafuta wakubadilishana nae mawazo na pia nataka kumkabizi moyo wangu. Zama private please

Karibuni
 
Komaa mwanangu.
Inaonekana kitaani kwenu, mademu wanakariri sana eh??
 
Habiri wakuu,

Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka isiyozidi 25 lakini haipo chini ya 21. Natafuta rafiki wa kike mwenye Umri usiopungua miaka 20 but usizidi miaka 35. Awe anapenda kusocialize, asiwe anakariri kila kitu, awe pia anajua kubadilika kutokana na mazingira (coz hata mie nahisi nina sifa hizo)


Mwenye sifa hizo please unakaribishwa au hata kama unamfahamu mtu mwenye sifa hizo mwambie namtafuta kwa kweli.

Note:
Maisha ya upweke yamenishinda mie, natafuta wakubadilishana nae mawazo na pia nataka kumkabizi moyo wangu. Zama private please

Karibuni
Dogo sijakusoma!! huku kusocialize unamaanisha kujamiiana au inakuaje labda?
 
mambo hayo yalikuaga humu kitambo kwasasa cdhani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom