kumbe kuna mabibi wapo singleMi ni me(26yrs),natafuta mwanamke wa kuchumbia mpaka ndoa,nipo muleba kagera.sibagui dini,elimu na umri ila asiwe bibi.mi ni degree holder,kwa aliye serious ani-pm.
Degree holder umeshindwa kung'oa mtoto muleba nzima mpk uje humu?