Natafuta mchumba atakaye kuja kuwa mke

Natafuta mchumba atakaye kuja kuwa mke

MkamaShapu

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
317
Reaction score
170
Habari wanajamii.

Mimi ni kijana mwenye wa miaka 25, ninafanya kazi kwenye kampuni fulani hivi ya kigeni, elimu yangu ni kidato cha sita.
Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo.

-awe mwenye heshima na tabia njema

-awe mwenye kujitambua

-awe mwenye upendo wa kweli

-Umri kuanzia miaka 22-30

Sichagui dini wala kabila....PM zinakaribishwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom