Habari. Mimi ni kijana wa miaka 29 naishi Kinyerezi nafanya kazi kwenye kampuni binafsi, natafuta binti awe mchumba ambaye atakuwa mke baada ya kufanya taratibu zote.
Awe na sifa zifuatazo
Umri wake usizidi miaka 33
Awe anafanya kazi ama biashara
maji ya kunde au mweupe
akiwa na mtoto mmoja pia haina tatizo
Ni PM kama unahitaji mume mtulivu, mtaratibu na mwenye upendo wa dhati, mpenda watoto, mcha mungu na mwenye bidii ya maisha.
Awe na sifa zifuatazo
Umri wake usizidi miaka 33
Awe anafanya kazi ama biashara
maji ya kunde au mweupe
akiwa na mtoto mmoja pia haina tatizo
Ni PM kama unahitaji mume mtulivu, mtaratibu na mwenye upendo wa dhati, mpenda watoto, mcha mungu na mwenye bidii ya maisha.