Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Ni kijana wa miaka 25,mwenye sifa zifuatazo 1.mwembamba wastani na mrefu futi tano, 2.ni mtanashati ,mpole na naweza kuchukuliana na yeyote 3.elimu yangu ni chuo na nipo mwaka wa pili 4.ni mkristo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WADAU NATAFUTA MARAFIKI WA AINA MBILI. 1.YEYOTE ATAKAEPENDA TUBADILISHANE MAWAZO. Sifa a)Awe na nia ya dhati (serious) b)Umri miaka 18-30 c)Awe tayari kukutana d)Ajue kiswahili au kiingereza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina miaka 40, degree moja na nimeajiriwa na halmashauri aliye tayari anipeem gloriafrancis60@yahoo.cm
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifutazo:- Umri 28 hadi 35, Mwenye kujitambua, Mpenda maendeleo, Mcha Mungu, Mwenye mtoto sawa maana mi ninao, Asiwe mnene
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Natafuta mpenzi wa kike mwenye sifa zifuatazo 1.Umri 15-17 2.Awe mzuri mweupe au black beuty 3.Awe anasoma au elimu ya kiwango kizuri...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31,elimu yangu ni degree moja,kazi yangu ni mwalimu ndani ya manispaa ya morogoro,kwa yeyote aliye tayari ani pm,awe mkweli,anayejua nini maana ya maisha,awe mcha...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
NATAFUTA MKE Ni kijana wa miaka 26naishi mbeya natafuta mwanamke atakayekuwa mke wangu asizidi 23 miaka sifa; .Awe mkiristo .Aishi popote Tanzania .Awe anayatambua majukumu yake .Awe na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta msichana mrembo mwenye sifa hizi. 1.Awe mweupe au maji ya kunde. 2.Awe na umbo namba nane. 3.Asiwe mwembamba Sana. 4.Awe na miguu minene. 5.Awe amemaliza Four form mpaka chuo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina miaka 27, Mimi ni mkristo, Kabila msukuma, Elimu na kazi km upo tayali nita kuambia. Nataka awe na miaka isiyo zidi yangu Awe mkristo kabila sichagui. Kama upo tayari tafadhari ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapa ndani akitupia post binti kutaka mchumba coments zinatiririka hadi dah...SASA ngoja atume mwanaume hapo,inaliwa mikausho hadi lah...!kwamba mabinti wao ndo vipi? waweza kuta (0)wiki zima...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mm Ni Kijana Wa Kiume Mwenye Umri Wa Miaka 23, Nahitaji Binti Wa Kuchat Naye Na Awe Mwenye Umri Kati Ya 18-30, Nambar Ya Sim 0717327554, Pia Anaweza PM.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Aje friends? Post yangu hapa sio mahala sahihi sana ila naiman mtanielewa.. Moja post hii inawahusu wanaojielewa na watu wazima kuanzia miaka 27 na kuendelea.. Pili ukiwa muajiriwa, umejiajiri...
1 Reactions
2 Replies
819 Views
Hi!
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Mimi nina miaka 27, mweusi wastani, naishi Dar es Salaam na Lushoto. Ni mhandisi mhitimu ila sifanyi kazi za kihandisi kwa sasa ,nafundisha shule moja ya seminary. Kipato changu ni cha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sijapata PM yoyote toka jana baada ya kuweka Tangazo hapa la kumtafuta mchumba wa kike, sijui ni kwa sababu ya vigezo? ok, nalegeza, Mimi ni mvulana miaka 27 nafanya kazi mwanza na elimu yangu ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninatafuta mke sifa ninazotaka, i) Awe ni doctor au ni mwanafunzi wa MD umri 23-28 ii) Rangi haijalishi ila itakuwa vizuri akiwa maji ya kunde iii) Umbo saizi ya kati( yani asiwe mnene wala...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Mke
.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu mm niliandika tangazo la kuitaji mchumba,kiukweli nasema kupitia JF nimepata mchumba mzuri sana,ASANTENI.
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Nataka kuoa, nina miaka 32, natafuta mtu wa kusaidiana naye maisha. Nina watoto 4, mmoja wakiume wa 3 nilizaa nikiwa chuo tena field, huyo mwingine kazaliwa ana mwaka sasa, ila hao niliozaa nao...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nipo Rungwe Mbeya.. Ni mrefu 5.6ft, Majiakunde, Mwembamba, Umri28, Mwiislam(sitoweza badili), Mhehe, Elimu shahada1 ya elimu.. MWENZANGU AWE. Umri 22-25, Urefu kiasi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom