Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wazi. Kwa jina naitwa Milembe Anthony-24 yrs. Pia ni mawanafunzi wa shahada ya kwanza katika elimu na utawala chuo kikuu cha mzumbe kampasi kuu Morogoro...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Habari Naitwa Nelson Richard wa Arusha, ni kijana mcheshi, mwenye bidii na ninaye heshimu watu. Nina elimu ya chuo na kazi ya ofisini. Kutokana na majukumu ya kazi nakoswa muda wa ku-mingle...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau, Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu na sasa natangaza rasmi nahitaji mke humu ndani nipo Mwanza nina 30yrs nimeajiriwa nahitaji mwanamke anayejitambua asiwe mnene...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
Habari! Naitwa Nelson Richard wa Arusha, ni kijana mcheshi, mwenye bidii na ninaye heshimu watu. Nina elimu ya chuo na kazi ya ofisini. Kutokana na majukumu ya kazi nakoswa muda wa ku-mingle hivyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi all, I'm a single gentlemen, social, energetic, hardworker with vision hereby looking for a single lawyer to initiate a relationship with intention to create a Domestic relationship. The...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je ni kweli kama mwanaume ni bikira ni lazima amwoe mwanamke bikira? na je bikira ni tiketi ya ndoa imara? Je kisaikoloj
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu kijana wa kiume natafuta mwalimu wa kiki mwenye umri uzio zidi miaka 25 kama upo tayal nicheck p.m
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hey guyz!natafuta msichana wa kumuoa,sifa 4m 4 mcha Mungu mwaminifu mvumilivu wakuanzia 1990-> mwenye kuhitaji mawasiliano zaidi aninbox.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Umri wangu ni kati ya miaka 35 na 45 pato langu kwa mwaka ni kati ya tsh 30m na 60m natamani kupata dada/mama ambaye hataona shida kupata nae mtoto moja tu. Nataka atakeyependelelea awe na kazi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Si mchumb. Ni mke. Nadhani tutaulizana mengi huko chemba
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni mwajiriwa serikalin natafuta mke wa kuoa . Kwa sasa nipo mwanza kikazi Sifa Mwislam na mcha mungu Umri 20-29 Kabila rangi sibagui Elimu kuanzia form...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Staki kuzubaa miye. Nami natafuta. Natafuta mwanamke ambaye tutakuwa marafiki kwanza halafu polepole kuhamia kwenye uhusiano wa kimapenzi. Papara staki. Nataka kwenda tartiibu. If interested...
2 Reactions
91 Replies
8K Views
Kuna dada niliwahi kujuana naye hapa janvini anaitwa Rehema anaishi Nyasa,lakini bahati mbaya nilikuwa safarini kuelekea Tanga na mbaya zaidi nilipoteza simu na hivyo kupoteza mawasiliano naye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta msichana na mie kwa urafiki kwanza, na tuki click, tutaanza mapenzi. Naishi nje ya Tanzania ila ningefurahi kama wewe unaishi Tanzania, tunaweza kutembeleana nilipo au ulipo wewe. Sichagui.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ak
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume wa kitanzania. Natafuta mchumba. Umri miaka 22-29. Umri wangu ni miaka 33. Elimu yake iwe kuanzia Diploma.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadada wa JF mnanichukia hivyo au kwa sababu ya post zangu za kuwananga ,huwa nawatania tu maana nimepost kutafuta mke humu naona mnapita kimyakimya no like no reply no PM msinifanyie hivyo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi Ni Kijana Mwenye Miaka 24 Natafuta Msichana Wa Kuoa mwenye Sifa Zifuatazo. 1.Umri Ni Kuanzia Miaka 18~22, 2.Awe Na Tabia Nzuri 3.Asiwe Anapenda Sana Pesa 4.Asiwe tapeli...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Awe Na Umri Kati Ya Miaka 18 hadi 20, awe ni mkristu,na awe ni mtu wa kujielewa na kujitambua. tuwasiliane kwa Email: boniphace10@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nipo dar natafuta girlfriend wa kuchat nae,kushare nawe mambo mbalimbali alye interest ani PM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom