Niko serious natafuta mchumba

Niko serious natafuta mchumba

Mkulu p

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
630
Reaction score
219
Nna miaka 27 natafuta mchumba mwanamke mwenye akili ya kawaida tu ya kuwa mama...ataevutiwa ni pm Mawasiliano tulidhiane tufanye maisha
 
Huko Crios ulikosema upo ni nchi au mkoa gani nikufate? Mi akili yangu inatosha kuwa mama tu naamini utalidhia.
 
Nna miaka 27 natafuta mchumba mwanamke mwenye akili ya kawaida tu ya kuwa mama...ataevutiwa ni pm Mawasiliano tulidhiane tufanye maisha

Mkuu embu tufafanulie "CRIOUS" ndo nini!?, mana uniacha kwenye tuta!
 
Mkuu embu tufafanulie "CRIOUS" ndo nini!?, mana uniacha kwenye tuta!

Izo n aina tu za uandishi badala ya s nkaweka c n mbwembwe za mujin... by the way nataka mchumba wa kike we ni wa kike?
 
Nna miaka 27 natafuta mchumba mwanamke mwenye akili ya kawaida tu ya kuwa mama...ataevutiwa ni pm Mawasiliano tulidhiane tufanye maisha

Du afadhali hatimaye username imefanyiwa marekebisho
 
Huko Crios ulikosema upo ni nchi au mkoa gani nikufate? Mi akili yangu inatosha kuwa mama tu naamini utalidhia.

Uandishi tu wa mjini ila mpaka saiv we hufai coz unafatlia makosa madogo sana m bnadamu so Makosa madogomadogo kama ayo kawaida we chuna tu ckuhitaji
 
Ni swaga za kifacebook kamaanisha serious

Kichwa cha kuku milele hakibeb mzigo... kuna watu kibao wapo umu na facebook wamo... so Usicrem kila mzungu padre wengne wataliii
 
Kichwa cha kuku milele hakibeb mzigo... kuna watu kibao wapo umu na facebook wamo... so Usicrem kila mzungu padre wengne wataliii

Aisee una degree ya vijembe na maneno ya rejareja
 
Mimi siangalii kosa madam umeeleweka mimi niko tayari. ..ila na mimi nina vigezo vyangu pia...una tembo card master card?,gari ya kutembelea unayo au ndo daladala? Asset umilikizo zinadhamani gani? Hutakua na mchepuko kweli ? Hununinuni hovyohovyo? Unajua kujali au mbwembwe hapa? Wewe ni mtanzania halisi au umechanganya changanya msomali..
wewe ni mkristo? Kama niliyokuuliza uko
Ok nayo aya anza kuntongoza si unajua utamaduni wa kiafrica lazim uanze wewe mimi naona aibu
 
Back
Top Bottom