Natafuta mke

Natafuta mke

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Najitokeza hapa maalumu kwa jambo moja tu, Natafuta mke mwema, mcha mungu, awe mfanyakazi na awe na umri wa kuanzia miaka 20 -26, aliye serious tu.

Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 mfanyakazi na elimu yangu ni degree.

Awe na Elimu kuanzia form 4 na kuendelea Na awe serious tu.

Kama wewe siyo mwanamke/binti please! usini-PM-

Aliye Tayari Ani-PM.
 
Najitokeza hapa maalumu kwa jambo moja tu, Natafuta mke mwema, mcha mungu, awe mfanyakazi na awe na umri wa kuanzia miaka 20 -26, aliye serious tu.

Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 mfanyakazi na elimu yangu ni degree.

Awe na Elimu kuanzia form 4 na kuendelea Na awe serious tu.

Kama wewe siyo mwanamke/binti please! usini-PM-

Aliye Tayari Ani-PM.

Tunataka picha kwanza tukutathmini na sie kina.she
 
unatafuta mke au mtu wa kukuchuna tu?
 
Bank unashingapi????? Mke atafutwi kwa njia hii mzeee kama ur 28 halafu mpaka sasa huna hata top 5 ya mademu wenye vigezo vyako unaoweza kuoa ur not serious kabsaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom