Mimi in kijana wa Kitanzania na tafuta msichana wa kuoa tukiridhiana awe dini yeyote awe mywaji kidogo elimu Form six, chuo. Aliye tayari ani PM tutawasiliana zaidi popote alipo nitamfuata
Mimi in kijana wa Kitanzania na tafuta msichana wa kuoa tukiridhiana awe dini yeyote awe mywaji kidogo elimu Form six, chuo. Aliye tayari ani PM tutawasiliana zaidi popote alipo nitamfuata
watu wazembe wa kufikiria sana mtu kutafva mchumba mitandaoni et ni domo zege sio kweli now thngs are simplyfyd kama unaweza nunua gali mtandaoni ushindwe kutafuta mchumba mtandaon? Aaah achen uvivu.
Mwanamke kwako ni chombo cha starehe na ndio maana unamfananisha gari linalotengenezwa na mtu.
uzembe mwingne huu hapa. Kwana wanaotafuta wachumba magazetini au hata redioni au hata humu mitandaoni ni ni wanaume tu. Au ulitakanifananishe na nini ndo ulidhie dont get low your selv am hereby respecting womem and i lov them and i do so for you.
Huwa sielewagi kuwa mtu amekosa mwenza angle zote huko.Labda ni last alternative inakuwa.
Endelea kuwaheshimu
thanx. Unajua kawaida iko hvi mng'atwa wa nyoka hata unyasi ukimgusa anaruka. Sio wote wanania mbaya baadhi tu na hatujui labda na huyu. It z narrow way to know.
Kwa upande wangu nashindwa kuielewa hii hali....anyway let it be kwa hao wanaona ni best way ya wao kupata wenza.