Ninatafuta rafiki wa kike wa kuchat tu

Ninatafuta rafiki wa kike wa kuchat tu

bamku

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
538
Reaction score
429
Mimi ni kijana wa miaka 38 na elimu yangu ni shahada natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya kimaisha. Masuala ya ngono hapana.
aliyetayari ani PM.
 
miaka 38 unatafuta mwanamke wa kuchat,acha umalaya babu oa
 
Miaka 38 bado unajiita kijana?
 
Mimi ni kijana wa miaka 38
na elimu yangu ni shahada natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa
ajili ya kubadilishana mawazo ya kimaisha. Masuala ya ngono hapana.
aliyetayari ani PM.

umeoa?
 
Mimi ni kijana wa miaka 38
na elimu yangu ni shahada natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa
ajili ya kubadilishana mawazo ya kimaisha. Masuala ya ngono hapana.
aliyetayari ani PM.

kama haoujaoa bas punguza masharit ya miaka 33 hata bas 26+ huwa napendaga marafiki wa ivi wanao exclude ngono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom