Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
wapendwa habari zenu,mie ni kijana wa kiislamu mwenye umri wa miaka 25,nilikuwa natafuta msichana wa miaka kati ya 2O hadi 23 awe ni mwislamu.Elimu kuanzia kidato cha nne au sita na awe na ujuzi...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Jamani bado sijachoka kutafuta mwenza mwenzangu wa maisha, Walimu wa kike kama mmo humu karibuni sana, na hata kama si mwalimu nawakaribisha sana, ila awe mwembamba na mrefu wastani, mwelewa, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Awe anamiaka 23 mpaka 30.awe mkiristu ani Pm
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Sibagui dini,rangi au kabila,mdada alie tayari no hizi 0752905500
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitwa Godfrey wa Mbeya Tanzania natafuta mchumba wa kuoa,nna umri wa miaka 25,ni muajiriwa,dini yangu mkristo.Mchumba nnaye mtafuta yeyote mwenye mapenzi ya kweli anitafute kwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Educated to diploma level and above,polite,any religion,mweupe kiasi,ur have a good shape!! hips, round shaped big booty ! good behavior ! u look smart always ! u know how to dress ! age from 22...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
natafuta mchumba mwenye miaka 18-19 namba yangu 0768254130
0 Reactions
1 Replies
810 Views
Nipo morogoro 26 yrs! Nahtaji binti MNENE rang yeyote na si mkorogo.. Ni pm au nitext kwa 0682426894
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani natafute mke wa kuoa elimu form iv umri 18-26 had chuo kikuu mie mjasiliane umri Wangu 30. niPM kwa anayehitaji
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wife material anahitaji. SIFA::::: Ni PM nikwambie.. Kuhusu Mimi. 1. Umri 29 2. Elimu: PGD 3. Nimeajiriwa N.B Mke tegemezi hapana.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
mm ni mwanamke nasoma chuo flan hivii hapa tz natafuta mwanaume wakunioa awe ameenda age,awe na kazi yaan kiufup awe anajiweza,mm nina mtoto mmoja wa kiume if u are serious karibu kama sio...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Aliye tayari anipm
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Kwanza nawasalimu. Najitokeza hapa kutafuta mwanamke wa kuoa aliye tayari, awe na mwili wa wastani tu au mwembamba mrefu wa wastani tu, awe ameajiliwa, Elimu kuanzia form 4 na kuendelea...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Naitwa Geofre wa Mbeya nna miaka 23 natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa zifuatazo,awe maji ya kunde,mnene kiasi,mrefu kiasi,awe na mapenzi ya kweli pia awe anajali upendo wake.kuhusu mimi nna...
1 Reactions
48 Replies
5K Views
Upweke umenishinda jamani natafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila m2 atampenda mwenzake tena upendo wa kweli(MUME WA MTU NA ULIYE NA MPENZI HAPA HAPAKUUSU WE PITA 2 NI KWA WALE...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume 30yrs baada ya kutoa mada hapa JF kuwa Mke wangu Ana papuchi kubwa. Amekamata simu yangu na kusoma comment baadae Ameniacha kabisa na kuondoka na House girl. Sasa sina papuchi...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
da! upweke umenishinda minatafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila mmoja ata mpenda mwenzake tena upendo wa kweli (KAMA UNA MKE AU UNAMPENZ APA HAPAKUUSU NI KWA WALE WALIO SINGLE)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natafuta dem mwnye miaka 18 had 20 awe n mzur,awe modo k aina lkn cyo sn km una vgezo hvyo replay then ntajua 2wacliane vp n awepo dar es salaam
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Mimi Ni Kijana Wa Kiume,nina Miaka 27,elimu yangu ni Diploma, mimi ni mkristo, ninatafuta mchumba wa kike, sura ya kawaida, mkristo, elimuyoyote, umri asizidi miaka 26, tuwasiliane kupitia 0763175935
0 Reactions
30 Replies
8K Views
mimi sina kitu kwa sasa ila napambana na maisha, natafuta rafiki wa kike ambaye nitakuwa naye bega kwa bega katika kushirikiana naye katika kutafuta na ikiwezekana muda ukifika basi tunaweza...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Back
Top Bottom