hivi mnafahamu kuna wakati mwingine watu huwa wanatafuta kweli, sema wengi wao huleta masihara ndo maana walio serious tunawabeza. mbona kuna watu wanamtuma kaka,dada,rafiki, watafutiwe mke na wanaoa kabisaaa
Khaaaa!!! Kumbe we ni me!! mbona unajilegeza hivyo??? Eti " jamani mwenzenu natafuta mchumba" nilivyoona kichwa cha habari nikafikiri dame! We mtoto wa kiume Hebu kakamaa. Hayo mambo ya "jamani mwenzenu mie" waachie dada zako. Sema natafuta mchumba. shauri Yako mjini hapa.Natufuta Mke
Awe anamiaka 23 mpaka 30.awe mkiristu ani Pm