Ndio maana chuma cha reli ameuliza Tegemezi unamaanisha nini? maana unaweza ukamkuta mtu ameajiriwa ukasema huyu sio tegemezi kwa kuwa anajitegemea alafu baadae akapigwa chini akawa jobless hapo itakuaje? (niliposema anatengenezwa maana yake hata kama yatakwenda kombo atakuwa na sifa ambazo kwa pamoja mkitulia mnaweza mkafanya kitu au anaweza akawa hana ajira kwa sasa ila kwa kuongea nae unaona kabisa ana kitu anataka kufanya ila mambo tu hayajakaa sawa ndio hapo concept ya kumtengeneza)Kwann atengenezwe? nahuku uwezo wa kujitengeneza mwenyewe anao??
Sijaelewa kwenye kipengele cha umri
Mmmhh.....
Ngoja niedit nilikuwa naulizia kuhusu elimu
Nadhani itakuwa ni Post Graduate Diploma (PGD) kama sikosei maana nae anachelewa kujibu sijui ameshafanikiwa kumpata wake wa ubani
Atleast awe na Form IV, sio mbaya..
Tegemezi...ebu wataalam Wa kiswahili...waje wanifafanulie..maana mke ndio wakuongeza ukoo sasa tegemezi amekuwa dolly..navojua watu wakioana wanategemeana..
All the best mie wa darasa la 7 hapa hapanifai
Wife material anahitaji.
SIFA:::::
Ni PM nikwambie..
Kuhusu Mimi.
1. Umri 29
2. Elimu: PGD
3. Nimeajiriwa
N.B Mke tegemezi hapana.