Ntumai mu wazima wa afya wana jf, mimi namshukuru Mungu niko safi. Ni kwa muda sasa nimekuwa sionekani kuchangia mada yoyote katika jukwaa lolote, ni kutokana na majukumu ya hapa na pale. Ndugu...
Habari wanajamvi,nimerudi tene kwa ajili ya kutafuta mchumba/mke baada ya mwaka jana kuja hapa na kuweka post ya kutafuta mke nilipata kuwasiliana na wasichana wawili ila hatukufikia popote coz...
Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37,natafuta girlfriend ambaye atakua mchumba na baadaye mke wa ndoa,awe na umri kati ya 26-35 asiwe kibonge wala mfupi saana,mkristo lakini kabila na rangi wala...
Habari wandugu.
Itakumbukwa siku chache zilizopita nilikuja humu kuomba ushauri baada ya kutoswa na mwanamke ambaye tulishafikia sehemu nzuri katika mahusiano yetu.
Kwanza napenda kutumia nafasi...
Wa jf heshima zenu.
Natafuta mchumba ambaye badae atakuja kuwa mke wangu.Awe ni binti mwenye heshima na upendo, awe na mwili kidogo, ila asiwe mfupi wala mrefu, asiwe askari wa jeshi lolote.Akiwa...
Nichukue nafasi hii kuwashukulu wana jf! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninatafuta mchumba aliye serious ambae siku za usoni tutakua mke na mume.
Baada ya kuachana na yule...
Kama wewe ni mwanamke mpweke waitaji kijana wa kukuliwaza kwenye life niko hapa sasa hii ni ofa na wa kwanza kuwahi ndio huyohuyo ntakae kua nae
VIGEZO NINAVYOTAKA
umri miaka 27 mpaka 50 uwe...
heshima kwenu wakuu,mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nahitaji mke wa kuoa aliye serious na uhusiano,dini,kabila na elimu si kipingamizi,first priority itatoka kwa mwanamke mwembamba sana,mm ni...
Natafuta mwanamke aliyetayali kuolewa na awe na vigezo vifuatavyo: 1.Elimu kidato cha nne na kuendelea,2.Mwenye hofu ya Mungu,3.Umri miaka 25-30,4.awe ameajiliwa au mjasiliamali shwari tu, 5.Rangi...
Habari zenu Ndugu zangu?
Kwanza nafuraha kuwa mahala hapa, Mimi ni Mvulana wa miaka 29, nimeamua kutafuta mwenza wakuishi naye, ili nianze maisha mapya kabisa ya uraiani baada kutoka jela tarehe...
Hi guys
I am a reserved kind of a common man, somehow Outgoing and a bit funny as well. I have a longing in me to have a lady company to share stuffs, challenges, get more insights on women and...
Ni matumaini yangu mu-wazima nyoote kwa pamoja.
Mimi ni kijana aged 28 years old na pia ni degree holder being attached at somewhere kimajukumu.
Lengo mahsusi la uandishi huu ni kutafuta mchumba...
Maisha na huyu mke wangu yamenishinda kabisa, ila bado nahitaji mahusiano na mwanamke. Natafuta mwanamke ambaye hana mume kwa sasa umri above 27yrs ili tuanzishe mahusiano, umri wangu ni >27 <...
Mimi ni mvulana wa miaka 26.
Nina elimu ya kawaida, Shughuli zangu ni Biashara na ufundi.
Ni mkristo,natamani kuoa ila bado sijampata mwenye target kama zangu that way nko hapa kutafuta mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.