mwanaume anaweza kuwa na kazi lakini hilo la kujiweza (hapo kwenye red) sijakupata vema! nipe reference au baseline ya kujiweza iko vipi? awe na nyumba na gari na akaunti yenye milioni kadhaa au ni aje? maybe I could be the 'one' suitable for you!mm ni mwanamke nasoma chuo flan hivii hapa tz natafuta mwanaume wakunioa awe ameenda age,awe na kazi yaan kiufup awe anajiweza,mm nina mtoto mmoja wa kiume if u are serious karibu kama sio usijisumbue.
miaka yako michache
Mimi ninaingia 46 mwezi huu ila nina watoto wa2 wote wa Kike wako na mama zao tofauti na mm naishi mwenyewemiaka yako michache
Ndio maana midume kote huko ulikopita haikupendi mpaka unakuja huku kututafuta, na kuzaa neno zuri au jina lako zuri ni used, na inaonesha dhahiri we ni mwanamke pesa, nani awe ana pesa atake used? wakat street kuna vichipukiz kibao hivi vilivyopata mazero vya kumwaga, mtu anaejiweza kiuchumi aanze kuhangaika na mzazi kama wewe tena una mashart kibao,aache hata mafest yia kibao wa vyuo, we subiri watu wangu waku-PM waje kukukwarua ili wakuachie mawazo au kitoto kingine, ama sivyo change au edit ombi lako.
pole kwa yatakayokusibu muda si mrefu.
Ndio maana midume kote huko ulikopita haikupendi mpaka unakuja huku kututafuta, na kuzaa neno zuri au jina lako zuri ni used, na inaonesha dhahiri we ni mwanamke pesa, nani awe ana pesa atake used? wakat street kuna vichipukiz kibao hivi vilivyopata mazero vya kumwaga, mtu anaejiweza kiuchumi aanze kuhangaika na mzazi kama wewe tena una mashart kibao,aache hata mafest yia kibao wa vyuo, we subiri watu wangu waku-PM waje kukukwarua ili wakuachie mawazo au kitoto kingine, ama sivyo change au edit ombi lako.
pole kwa yatakayokusibu muda si mrefu.
Ushauri mzuri sana japo mwenyewe hatoupenda
Mh jamani, mbona ukali hivyo?
Yeye ana mtoto na nimwanafunzi sasa akipata mume asiye na uwezo watamleaje huyu kiumbe wa mungu?
Labda aliyemzalisha hataki kulea.
So anamtafutia mwanwe baba ambaye ataweza mlea.
Mpeni nafasi hivyo vicheche manvyosema unused vimeshusha engine mara tele na nivikongoro, heri huyu ameshusha once anaonekana si mjanja wa mujini na akipata atatuli.