Naitwa Geofre wa Mbeya nna miaka 23 natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa zifuatazo,awe maji ya kunde,mnene kiasi,mrefu kiasi,awe na mapenzi ya kweli pia awe anajali upendo wake.kuhusu mimi nna elimu ya kidato cha nne,ni mwemba kiasi,mrefu kiasi,ngozi maji ya kunde kazi yangu ni mtu wa marketing katika kampuni ya mtandao wa mawasiliano wa MILCOM LTD (MIC) ujulikanao kama Tigo Tanzania.Kwa atakaye jisikia anitafute kwa namba 0655753472,au 0656043636.