Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

PRINCEBOY

Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
73
Reaction score
52
Naitwa Geofre wa Mbeya nna miaka 23 natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa zifuatazo,awe maji ya kunde,mnene kiasi,mrefu kiasi,awe na mapenzi ya kweli pia awe anajali upendo wake.kuhusu mimi nna elimu ya kidato cha nne,ni mwemba kiasi,mrefu kiasi,ngozi maji ya kunde kazi yangu ni mtu wa marketing katika kampuni ya mtandao wa mawasiliano wa MILCOM LTD (MIC) ujulikanao kama Tigo Tanzania.Kwa atakaye jisikia anitafute kwa namba 0655753472,au 0656043636.
 
Naitwa Geofre wa Mbeya nna miaka 23 natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa zifuatazo,awe maji ya kunde,mnene kiasi,mrefu kiasi,awe na mapenzi ya kweli pia awe anajali upendo wake.kuhusu mimi nna elimu ya kidato cha nne,ni mwemba kiasi,mrefu kiasi,ngozi maji ya kunde kazi yangu ni mtu wa marketing katika kampuni ya mtandao wa mawasiliano wa MILCOM LTD (MIC) ujulikanao kama Tigo Tanzania.Kwa atakaye jisikia anitafute kwa namba 0655753472,au 0656043636.

Mmmh ....... kwahyo vimbaumbau hatutakiwi jmn duuuu
 
Dogo subiri ukomae kuishi na hawa viumbe kwa umri wako...jiandae kwenda kumsema kwa mama.
 
Awe na upendo/mapenzi kivipi?Ni mpaka muonane na mjenge ukaribu wa mahaba mkuu!Anyway,goodlucky mkuu!
 
umri sahihi wa kuoa ni miaka mingapi?

(tafadhali unapojibu swali langu zingatia na life expetancy ya bongo)

Kuoa kunataka experience, at 23 back ila kma anataka mwanamke wa kukaa naye atampata
 
Wadau kwangu mimi uchumi si tatizo isipokuwa tatizo linalo fanya nitafute mchumba na kuoa nikuhusu usimamizi wa mali zangu nyumbani pamoja na baadhi ya vitega uchumi imekuwa tatizo maana nimeajiri watu wananiibia kwasababu niko bize na kazi muda mwingi ndo maana nika amua kufanya maamuzi kama haya maana maisha ya upweke nayo ni gumzo nyumba kubwa unaishi peke yako ni shida but nashukuruni kwa maoni wana Jf wenzangu kama nakosea mnambie wakubwa zangu but hayo ndo maamuzi yangu na sababu ndo kama nvo ielezea maana coment nyingi nimesoma zinauliza miaka 23 unataka kuoa? ila tuko pamoja wakubwa mi kuhusu utafutaji nsha wekeza so kwangu si shida sana.Siku njema wadau.
 
umri sahihi wa kuoa ni miaka mingapi?

(tafadhali unapojibu swali langu zingatia na life expetancy ya bongo)

at least 25/6 na kuendelea, but 23 jamani bado ananuka maziwa kabisaaa.. nikinuna na yeye ananuna. mshahara wenyewe bado ananunua smart phone na nguo
 
Wadau kwangu mimi uchumi si tatizo isipokuwa tatizo linalo fanya nitafute mchumba na kuoa nikuhusu usimamizi wa mali zangu nyumbani pamoja na baadhi ya vitega uchumi imekuwa tatizo maana nimeajiri watu wananiibia kwasababu niko bize na kazi muda mwingi ndo maana nika amua kufanya maamuzi kama haya maana maisha ya upweke nayo ni gumzo nyumba kubwa unaishi peke yako ni shida but nashukuruni kwa maoni wana Jf wenzangu kama nakosea mnambie wakubwa zangu but hayo ndo maamuzi yangu na sababu ndo kama nvo ielezea maana coment nyingi nimesoma zinauliza miaka 23 unataka kuoa? ila tuko pamoja wakubwa mi kuhusu utafutaji nsha wekeza so kwangu si shida sana.Siku njema wadau.

unataka mke au mlinzi??? huko ulipo hamna security companies ??? ajiri mmoja
 
Hata mimi nimejiuliza.........pesa katafuta saa ngapi........maisha kala saa ngapi......

maajabu yanaendelea mae.. angekua kutokea kwa wale wenzetu wa Mwanza/Shinyanga ungekua sawa.. tena wale unakuta wa umri wake ana wanawake wawili na watoto wa kutosha
 
Namba za simu za nini? Wenye nia watakuPM.

Lakini kidato cha nne bado saana. Umri unaruhusu, rudi shule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom