Natafuta Rafiki

Natafuta Rafiki

Dongola

Senior Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
122
Reaction score
15
Upweke umenishinda jamani natafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila m2 atampenda mwenzake tena upendo wa kweli(MUME WA MTU NA ULIYE NA MPENZI HAPA HAPAKUUSU WE PITA 2 NI KWA WALE WALIO SINGLE) awe mkristo umri usiozidi 28 wala usipungue 26 mi ni ke nina miaka 24 mjasiriamali mdogo. kwa kufahamiana zaidi ni PM.
 
Hakyamama hata mimi napenda marafiki..........upo wapi.......?
 
@ Preta.
Upweke umenishinda jamani natafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila m2 atampenda mwenzake tena upendo wa kweli(MUME WA MTU NA ULIYE NA MPENZI HAPA HAPAKUUSU WE PITA 2 NI KWA WALE WALIO SINGLE) awe mkristo umri usiozidi 28 wala usipungue 26 mi ni ke nina miaka 24 mjasiriamali mdogo. kwa kufahamiana zaidi ni PM.
 
 
Last edited by a moderator:
Upweke umenishinda jamani natafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila m2 atampenda mwenzake tena upendo wa kweli(MUME WA MTU NA ULIYE NA MPENZI HAPA HAPAKUUSU WE PITA 2 NI KWA WALE WALIO SINGLE) awe mkristo umri usiozidi 28 wala usipungue 26 mi ni ke nina miaka 24 mjasiriamali mdogo. kwa kufahamiana zaidi ni PM.
​Mhh how old are you baby?! Yaani mpaka umri huo hujabahatika kupata? Any thing wrong?
 
Haaaa kasem hatak mume wa mtu kumbe na wewe watak ebu niambie ila watu wasisikie hiyo avatar ndo wewe haswa? PENGINE MTENDE UMEOTA KWENYE MAJI NAMI NKITUPA NDOANO SIO MBAYA
a a......kasema wapi yeye ni ke........mi sijaona........
 
Apa utawapata wengi kwa kweli,wengi watapunguza umri na wengi wako single lakin ukweli wa hayo upo moyoni mwao tu na wajanja wamesha kupm mapema hata tukija sie wenye vigezo tutaonekana bwenge tu ngoja nijipitie mbali,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom