Mi ni kijana wa miaka 28 Niko dar natafuta marafiki wa kike ambao tutakua tunachat na kubadilishana mawazo.
Yule nitakae endananae tunaweza ata kua wachumba au wanandoa.
Lakin tunaanza na...
Utamu wa maisha ni pale unapojua kuwa unahitaji maisha ya aina fulani.
Japokuwa tunaumizana kila siku hiyo haipunguzi wingi wa harusi kila uchao kwenye majumba ya ibada na serikalini.
Nami leo...
Mimi nikijana niliyejiajilia natafuta mwanamke aliyetayari kuishi na mimi katika shida na raha umri kuanzia miaka 18 na kuendelea awe na elimu kuanzia kidato cha nne aliye tayari anipm.
natafuta rafiki wa kike ambaye tuje tuwe wanandoa,napatikana mwanza,ni muajiriwa serikalini na cjawahi kuoa wala sina mtoto
sifa za ninae mtafuta
-age 18-21
-maji ya kunde
-mrefu
-mnene...
Natafta mpenz wa kuwa nae,awe mwanamke,awe si super staa,pia awe na tabia nzur na asiwe tapel kwan cpendi kuumizwa.Napendelea wa umbo lolote,nko arusha!,anaweza kuweka namba hapa ntamcheki!
Warembo fursa hii hapa natafuta mchumba umri usizidi miaka 30 uwe
mkwel ,mrembo / black beaty,mchapakazi ,elimu / willing to lean nd relocate to where im living ( uganda )
*sifa zangu elimu...
I am a Tanzanian girl aged 21,am looking for someone to hold up my feelings,who will advice me in difficult things,who will treat me like his wife, the one who will stand by my side through thick...
Warembo fursa hii hapa natafuta mchumba umri usizidi miaka 24 uwe mkwel ,mrembo,mchapakaz ,elimu,maji ya kunde kabila na prefer mchaga
*sifa zangu elimu yangu chuo kikuu,mfanya biasharaa mdogoo...
What's up, all Kenyan women,
I am Tanzanian youth with 32yrs, struggling for divorce or an unmarried woman with age 40+, with serious need of love, to a little bit she must be well-off...
Mfincha upweke mawazo humiumbua kwa wanawake tu kwani wengi wasimbiliwao na upweke ni wanawake nawakarinisha ktk grup la ushairi ktk whasup waje pm kwa msaada zaidi
Nahitaji rafiki wa kike kwa urafiki wa kawaida tu. Madhumuni hasa ni kuchat juu ya mambo mbalimbali ya maisha kwa ujumla (opportunities, professional, biashara, kilimo hususan cha biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.