Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hi everybody, natafuta Mwanamke ambaye tunaweza komaza mahusiano, umri 20 to 27 mm ni mkazi wa hapa tanzania for more than 12yrs sasa. origated from Tw. Unaweza PM. Asante
0 Reactions
6 Replies
963 Views
Am looking for mature men age start 29and above Christian about me am 25yrs for more information let communicate through pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za muda huu wana jf wenzangu,natafuta mpenzi ambae baadae ataweza kuja kuwa mchumba wangu na if possible kuja kuwa mke wangu wasifu wangu, ni mrefu(6.0 ft) maji ya kunde, umri wangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mchumba awe mwerewa,mcha mungu,mpenda maendeleo namba yangu ya cm 0682393738
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani eehh wadada wa JF natafuta mwenzi hasa huku JF. Vigezo hivi vitatumika, ukikosa hata kimoja usipoteze muda wako nataka uwe navyo vyooote, full stop. 1. Mrefu zaidi ya futi tano na asizidi...
1 Reactions
67 Replies
7K Views
hi every body im tinoh from dar, looking for someone who in need to have a good husband ,I dont care concern color, age,tribe and face only I need is true love anyone anakaribishwa, thanks...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi ambae anajikubali kuwa yy anafaa namba yangu ni 0682393738
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Hi JF bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu ya kila siku. Leo napenda kuuliza swali hili kama utakuwa na jibu naomba utiririke hapo kwenye comment. Mimi huwa naogopa sana kutongoza hawa...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Ni kwa muda mrefu Sasa tumekuwa tukisoma wavulana wanahitaji girls humu JF. Hususan wamekuwa wakiweka vigezo maalum kama; mweupe, mwenye sabufa au kwa lugha nyingine sitting allowance, n.k...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mim ni mwanachuo umr ni 22 yrs niko mliman natafuta rafiki wa kike wa aina yeyote ile ciangalii kabila din wala rang.thanks ni pm kama uko tayar
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji mchumba wa kua naye kimahusiano ya kimapenzi MASHARTI: Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 27, mimi nina 25 Awe mrefu Awe mweusi Awe na matiti ambayo hayajalala Awe na mwili wenye...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Mimi kijana mtanashati mwenye umri wa miaka 27,natafuta mke awe na elimu ya kidato cha 4 mpaka chuo. Dini Islamic,weupe,warefu na umbo LA kati nawahitaji sana. Tupia text 0755090831 kama unahusika
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Natafuta mwanamke aliyetayari kuingia kwenye ndoa, aliyeserious tu ndye atakayejibiwa. awe na sifa zifuatazo; mwenye umri kuanzia 24 mpaka 32. awe na elimu angalau ya sekondari. aliyeajiliwa...
0 Reactions
108 Replies
8K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea,mimi ni ke. Natafuta rafki wa kiume,awe na umri wa miaka 33-38,mkristu na mwenye hofu ya Mungu.Aliye tayari karibu.
0 Reactions
29 Replies
4K Views
natafta marafk wenye age kuanzia 25- 40 tubadilishane mawazo na tufamiane 0756181677 watsup only
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani mimi mwenzenu mpaka leo nimeshindwa kumpata huyu mwanamke ninayempenda sabbu hataki hata kuckia sauti yangu ila sasa nimeona bora nitafute mwengine kama yupo namuomba aje inbox.
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Wapendwa, Nitakuwa mtovu wa fadhila nisipotumia wasaa huu kuwashukuru wanajukwaa waliochangia kwa ushauri na mawazo mbadala juu ya bandiko langu la awali "Natafuta mwanamke Mpweke" Hakika...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu heshima zenu Ni muda mrefu sasa namtafuta mwenza bila mafanikio.Wakuu naombeni msaada wenu wa hali na mali Nawasilisha
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Baada ya kutangaza kutafuta mke na kuambulia patupu, basi..... Natafuta angalau mwanamke/demu.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta mchumba(a girl) awe na mapenzi ya kweli....vigezo. Mkristo, mchamungu, mweupe naturally, mrefu wastani, mnene kidogo, hips za kubwa kmtindo, 18-20 in age, form 4-6 in education.if you are...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom